Pdidy
JF-Expert Member
- Nov 22, 2007
- 50,956
- 22,138
Mh rais
kwa kweli mi nikiwa kama mjasiriamali kwenye swala la ndoa naomba niombe kuuliza swali hili..mh rais umekuwa ukizunguka sana nje na ndani ya nchi bila hata kupumzika,pamoja na kwamba kila mtu anapenda per dime kwa kweli bado ndoa inaitaji kuheshimiwa na watu waote
kuheshimika ni pamoja na wahusika kupeana hakizao timilifu bila kupunjana,,nimejaribu kukaa na kuwaza kwa hili yawezekana mama yetu salma amekuwa akishindwa kukwambia lakini ukweli mzee wetu unaitaji kupumzika umpe mama hakiyake ya ndoa..safari nyingi umekuwa mwenywe ukipasua mawimbi tunaomba sasa uchukue muda umpe mama salma haki yake ya ndoa ye ni binadamu na anaitajii kama binadamu wengine;urais usiwe sehemu ya kunyimwa mtu haki yake..nimesikitishwa kuchangaa uko mwanza gafla uko taifa mara nasikia unaelekea tena mikoani wikii hii...mama yetu ni mtu anaejiheshimu basi tunsimtie majaribuni mhe rais tumpe haki yake timilifu..mungu akutie nguvu kwa hivlli kama anavyokupwa ukiwa marekani ,greece,london nk
kwa kweli mi nikiwa kama mjasiriamali kwenye swala la ndoa naomba niombe kuuliza swali hili..mh rais umekuwa ukizunguka sana nje na ndani ya nchi bila hata kupumzika,pamoja na kwamba kila mtu anapenda per dime kwa kweli bado ndoa inaitaji kuheshimiwa na watu waote
kuheshimika ni pamoja na wahusika kupeana hakizao timilifu bila kupunjana,,nimejaribu kukaa na kuwaza kwa hili yawezekana mama yetu salma amekuwa akishindwa kukwambia lakini ukweli mzee wetu unaitaji kupumzika umpe mama hakiyake ya ndoa..safari nyingi umekuwa mwenywe ukipasua mawimbi tunaomba sasa uchukue muda umpe mama salma haki yake ya ndoa ye ni binadamu na anaitajii kama binadamu wengine;urais usiwe sehemu ya kunyimwa mtu haki yake..nimesikitishwa kuchangaa uko mwanza gafla uko taifa mara nasikia unaelekea tena mikoani wikii hii...mama yetu ni mtu anaejiheshimu basi tunsimtie majaribuni mhe rais tumpe haki yake timilifu..mungu akutie nguvu kwa hivlli kama anavyokupwa ukiwa marekani ,greece,london nk