Yo Yo
JF-Expert Member
- May 31, 2008
- 11,217
- 1,702
Leo ninao wakina mama wanaojifanya wanaharakati
ukiwasikiliza unaweza kuzima fegi kwa maneno ya ya kiharakati dhidi ya wanawake
..kilichonisukuma kuanzisha hii thread ni majuzi mlisikia yaliowapata wasichana wa shule moja mkoani morogoro wakituhumu walimu/mwalimu kuwanyanyasa kwa kufanya nao ngono
Hivi UWT kazi yake ni nini?
Mpaka leo hii hawa TGNP,TAMWA wakina Kijo Bisimba Ananelia Nkya hawajatoa tamko lolote Mama Salma kikwete hajaongea kitu .
nashawishika kuamini kuwa hawa wanaharakati wako pale ku target madaraka hasa ya ubunge wa kuteuliwa na sio kutetea wanawake ..hawaoni uchungu kwa kuwa hawana watoto pale au hakuna maslahi yao......
mnamkumbuka Mama Terry Yule mwanamama machachari alikuwa anatoa darasa sana redio 1 na ITV ..target yake ilikuwa ubunge alipokosa leo hii humsikii tena
..kilichonisukuma kuanzisha hii thread ni majuzi mlisikia yaliowapata wasichana wa shule moja mkoani morogoro wakituhumu walimu/mwalimu kuwanyanyasa kwa kufanya nao ngono
Hivi UWT kazi yake ni nini?
Mpaka leo hii hawa TGNP,TAMWA wakina Kijo Bisimba Ananelia Nkya hawajatoa tamko lolote Mama Salma kikwete hajaongea kitu .
nashawishika kuamini kuwa hawa wanaharakati wako pale ku target madaraka hasa ya ubunge wa kuteuliwa na sio kutetea wanawake ..hawaoni uchungu kwa kuwa hawana watoto pale au hakuna maslahi yao......
mnamkumbuka Mama Terry Yule mwanamama machachari alikuwa anatoa darasa sana redio 1 na ITV ..target yake ilikuwa ubunge alipokosa leo hii humsikii tena