Hivo ndo wenyeji wa huko wanavyoitamka...Taarime
hii inaweza kuwa kweli mkuu balatanda .. lakini, kwani buswelu ni wa huko pia?
Hivo ndo wenyeji wa huko wanavyoitamka...Taarime
hii inaweza kuwa kweli mkuu balatanda .. lakini, kwani buswelu ni wa huko pia?
mkuu nilikuwa nataka kutoa koment kali ila ikabidi nicheke baada ya kusoma atiko yako.Kule kwenye saiti yangu niliandika hivi tarehe 26 na bado naamini tutakuwa na ajali kubwa ya kiongozi fulani.. isipokuwa kama tutawakinga kwa maombi:
Hahaaaaa...Ninahisi hivo,ama ni mtani wa watu wa Taarime
Pole Mama Salma, mungu atakulinda na majanga yote.
"Ila cha kujifunza hapa ni kwamba maisha ya binadamu yoyote yule ni muhimu kuyalinda bila kujali nafasi yake kwani hilo ni Jukumu mama la serikali yoyote kuhakikisha usalama wa Raia wake, Matukio kama haya yapo mengi sana kila siku nchi nzima, daladala kuchomekeana wao kwa wao pamoja kuchomekea magari mengine, barabara mbovu, madereva wanapata leseni kwa rushwa badala ya qualifications" - Umefika wakati sasa kuwalinda Raia wote na ajali zinazoweza kuzuilika, Nina hakika kama vyombo vya habari vingekuwa vinatangaza matukio yote ya aina hii ya msafara wa FL basi 24hour hazitoshi. Law enforcement agents waache longolongo na Rushwa wafanye Kazi yao"
Ndugu umezungumza jambo jema. Hivi utaratibu wa kupishana ili mke wa Raisi apite una mantiki gani? Maana kwa Raisi au WAziri mkuu angalau tunaweza sema wanawahi katika shughuli za kitaifa (though its not always the fact). Sasa huyu mke wa Raisi nae anapishwa, tena huko MAra ambapo hata foleni sidhani kama ipo. I think hili jambo tuliangalie kwa umakini. maana waka mama zetu wanajifungulia njia kutokana na foleni ndeefu, na barabara mbovu, ati mke wa Raisi anapishwa kwa shughuli za Taasisi yake binafsi. Kesho mtasema watoto wa raisi wakiwa wanatoka shule, mke wa Ridhi, na mchumba wake naniii wote wapishwe.
Kule kwenye saiti yangu niliandika hivi tarehe 26 na bado naamini tutakuwa na ajali kubwa ya kiongozi fulani.. isipokuwa kama tutawakinga kwa maombi:
Habari hii inaonyesha imenukuliwa....tupe source basi. Vinginevyo hizo alama za kunukuu hazina maana.
Kwani lazima kuchangia!, I am not plagiarist. Go through all my posts and find out my writing style. Always I give credit where it belongs.
Kwa taarifa yako Kiswahili nilipata "B" na Kiingereza "A" Kidato cha nne enzi za Mwalimu. Uwezo wangu wa kuandika nafikiri hauhitaji darasa la ziada kama huelewi nilichoandika uliza nikupe ufafanuzi.
This is a "Total Obstruction" from the Topic in discussion, by the way you are free to express your views and thanks for quoting my post for technical error you have sighted hoping umeelewa nilichokuwa namaanisha. Si lazima ujaze "pointless posts" in your account. Always try to be a "Great thinker"
Enheheeheee! msiishie hapa jamani endeleeni....wengine tunaburudika sana na mambo ya namna hii.
Mgonjwa jibu bwana.....!
Kwani lazima kuchangia!, I am not plagiarist. Go through all my posts and find out my writing style. Always I give credit where it belongs.
Kwa taarifa yako Kiswahili nilipata "B" na Kiingereza "A" Kidato cha nne enzi za Mwalimu. Uwezo wangu wa kuandika nafikiri hauhitaji darasa la ziada kama huelewi nilichoandika uliza nikupe ufafanuzi.
This is a "Total Obstruction" from the Topic in discussion, by the way you are free to express your views and thanks for quoting my post for technical error you have sighted hoping umeelewa nilichokuwa namaanisha. Si lazima ujaze "pointless posts" in your account. Always try to be a "Great thinker"
Pole sana mama Salma.