Nyange
JF-Expert Member
- Mar 25, 2010
- 3,516
- 1,865
Usiende huko mkuu, ni kumpiga chini come 31st!
Wakati wamesha chakachua kura huko tunduma, labda alienda kulaki gari lenye kura za mzee!!!:jaw:
Usiende huko mkuu, ni kumpiga chini come 31st!
ninamchukia huyu mama kama ninavyomchukia manafiki mkubwa jaji lewis makame na tume yake ya uchaguzi
mbona kama vile haka kameseji kameishia njiani vile au ndo kanaendelea toleo lijalo????Huyu atakuwa na matatizo na ndoa yake....mwezi wa pili hayuko nyumbani
Mene, Mene, Tekel, Upharsin!
Huyu atakuwa na matatizo na ndoa yake....mwezi wa pili hayuko nyumbani
Watanzania bwana ndio maana hatuendelei muda wote tunawaza ngono hata katika mambo ya msingi hatuwezi kuahirisha ngono.Tutakwendaje ulaya kusoma bila wake zetu ni lazima tupate kimada duuuuuuuuuuuuuuuHuyu atakuwa na matatizo na ndoa yake....mwezi wa pili hayuko nyumbani
Zito kabwe bado hajaoa anapiga uhuni tu kijana wa watu na umri unasonga mbele. Lipumba hazunguki na mke wake na Mbowe mbona anamfichaficha mke wake kulikoni? haya mambo yamekaaje?
Watanzania bwana ndio maana hatuendelei muda wote tunawaza ngono hata katika mambo ya msingi hatuwezi kuahirisha ngono.Tutakwendaje ulaya kusoma bila wake zetu ni lazima tupate kimada duuuuuuuuuuuuuuu
Watanzania bwana ndio maana hatuendelei muda wote tunawaza ngono hata katika mambo ya msingi hatuwezi kuahirisha ngono.Tutakwendaje ulaya kusoma bila wake zetu ni lazima tupate kimada duuuuuuuuuuuuuuu
ninamchukia huyu mama kama ninavyomchukia manafiki mkubwa jaji lewis makame na tume yake ya uchaguzi