Mama Salma Kikwete anaweza?

Herbalist Dr MziziMkavu

JF-Expert Member
Feb 3, 2009
42,268
33,041
Kataa kataa kata, kataa kata kataa, kata kiuno kata







Michelle+3.jpg














OKTOBA 21, Mke wa Rais wa Marekani, Michelle Obama aliwaita watoto acheze nao Ikulu.
First Lady wa USA si mchezo, watoto walitolewa kijasho, mama Obama anazungusha ringi kiunoni kama nini sijui, it was nice kwa kweli, natamani siku moja itokee na hapa kwetu.

<!-- spacer for skins that want sidebar and main to be the same height-->
 
Ataweza si alikuwa mwalimu wa shule ya Primary au tena darasa la .... mwanzo csi unajua mambo ya nyimbo na michezo tena
 
mama Kikwete anaweza kuwafundisha kusoma na kuandika watoto ,kitu ambacho amekua akikifanya miaka nenda rudi, na ninaamini mke wa OBAMA haiwezi hiyo shughuli, sikila afanyacho Mrs Obama wake za marais wengine waweze, kuna utofauti wa malezi,ukuaji , elimu na mila na desturi kwa ujumla.
 
mama Kikwete anaweza kuwafundisha kusoma na kuandika watoto ,kitu ambacho amekua akikifanya miaka nenda rudi, na ninaamini mke wa OBAMA haiwezi hiyo shughuli, sikila afanyacho Mrs Obama wake za marais wengine waweze, kuna utofauti wa malezi,ukuaji , elimu na mila na desturi kwa ujumla.

teh teh kiongozi naona umeandika kwa hasira sana
 
na anavopenda kuvaa mavitenge si yatamuangusha na atajikwaaa


Kila vazi na sehemu yake. Nimeishaona picha za Mke wa Kikwete akiwa ame vaa track suit, nadhani watu wengi waliona siku kombe la soka la dunia lilipokuja Dar. Hivyo, akitaka kuruka ruka atavaa nguo husika. Hii tabia ya kufananisha ( compare) wanawake inakera, na inawapunguzia wanawake self esteem, na kufanya wasijiamini.
 

Similar Discussions

0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom