Elections 2010 Mama Salma ananitia kichefuchefu!

Mwanamayu

JF-Expert Member
May 7, 2010
11,347
6,471
Kutoa maagizo kwa mkuu wa mkoa wa Mara, Mafuru, awaambie wana usalama wampeleke yule mjane ikulu ndogo ili amweleze shida zake ni sahihi kweli? Kwa nini asitoe maagizo kwa mwenyekiti wa UWT? Hivi nae akiwa peke yake anafikia Ikulu ndogo?

"Rushwa ilipingwa na nchi yetu zama za TANU hata vyama vya upinzani havikuwepo, ambapo katika ahadi za wana TANU zilisema kuwa rushwa ni adui wa haki sitatoa wala kupokea rushwa sasa kama kwa wapinzani kama hawana sera wanyamaze kuliko kusema kitu wasichokijua" alisema Mama Salma (Mtanzania, 15/09/2010, uk. 3).

Moja, huyu mama hajui historia ya nchi yetu, kwani wakati wa miaka ya mwanzo baada ya uhuru kulikuwa na vyama vya upinzani. Pili, vita vya rushwa si vya maneno ni vya vitendo; je, Andy Chenge na Idrissa kuhusu rushwa ya rada CCM na chombo chake TAKUKURU wamewafanya nini mpaka sasa? Tatu, hivi Dr. Slaa na Prof. Lipumba hawaijui hii nchi kama anavyoijua huyu mama? Nne, naomba huyu mama alete data zenye inference kutoa ushahidi dhidi ya vita ya rushwa na ushindi wa serikali kwenye vita hivyo. tano, atuambie kwa nini ripoti ya Warioba sehemu ya pili imefichwa kabisa na serikali? Sita, hivi kati ya mumewe na Dr. Slaa nani ameiga kutumia helikopta kwenye kampeni? Saba, hivi WAMA ni sister organisation ya UWT?
 
hasira hizo mkuu... taratibu

FYI, wengi wanamu-ignore tu huyu mama... hana impact yoyote kwa taifa aisee, labda kwenye fashion za nguo na vilemba
 
Bwana ehhh.........
Nasikia yuko mbioni kufunguliwa mashtaka.
Sijui kama hiyo kesi itafanikiwa,
maana hao ndio walio shika mpini.
 
Huyu mama naye! Akitoka mumewe naona yeye atagombea kama mama clinton kajikita kwenye siasa mno
 
Kutoa maagizo kwa mkuu wa mkoa wa Mara, Mafuru, awaambie wana usalama wampeleke yule mjane ikulu ndogo ili amweleze shida zake ni sahihi kweli? Kwa nini asitoe maagizo kwa mwenyekiti wa UWT? Hivi nae akiwa peke yake anafikia Ikulu ndogo?

"Rushwa ilipingwa na nchi yetu zama za TANU hata vyama vya upinzani havikuwepo, ambapo katika ahadi za wana TANU zilisema kuwa rushwa ni adui wa haki sitatoa wala kupokea rushwa sasa kama kwa wapinzani kama hawana sera wanyamaze kuliko kusema kitu wasichokijua" alisema Mama Salma (Mtanzania, 15/09/2010, uk. 3).

Moja, huyu mama hajui historia ya nchi yetu, kwani wakati wa miaka ya mwanzo baada ya uhuru kulikuwa na vyama vya upinzani. Pili, vita vya rushwa si vya maneno ni vya vitendo; je, Andy Chenge na Idrissa kuhusu rushwa ya rada CCM na chombo chake TAKUKURU wamewafanya nini mpaka sasa? Tatu, hivi Dr. Slaa na Prof. Lipumba hawaijui hii nchi kama anavyoijua huyu mama? Nne, naomba huyu mama alete data zenye inference kutoa ushahidi dhidi ya vita ya rushwa na ushindi wa serikali kwenye vita hivyo. tano, atuambie kwa nini ripoti ya Warioba sehemu ya pili imefichwa kabisa na serikali? Sita, hivi kati ya mumewe na Dr. Slaa nani ameiga kutumia helikopta kwenye kampeni? Saba, hivi WAMA ni sister organisation ya UWT?
Ni kulewa madaraka tu, otherwise hana uelewa wowote wa nafasi yake kama firstLady!...Kipofu kaona mwezi!
 
huwa ananikera sana huyu mama hana maana kabisa

bora afuatane na mumewe
 
Hana jambo la msingi ndio maana anaongelea simulizii na si historia. Hivi anayo madalaka ya kutoa maagizo kwa mkuu wa mkoa? Nafikiri yeye anaweza kufanya hayo huko WAMA na kwingineko. Ashakum si matusi!
 
Sababu nyingine ya kuiangusha CCM ya Kikwete ni kwamba ameshindwa kuheshimu sheria na katiba ya nchi aliyoahidi kuilinda. Mkewe amejikweza na kujipa uwaziri na utendaji katika serikali ambao haupo kwenye katiba ya nchi hii.
Na anaiingiza nchi kwenye gharama zisizo za lazima kwa safari zisizo na manufaa kwa Watanzania
 
Kutoa maagizo kwa mkuu wa mkoa wa Mara, Mafuru, awaambie wana usalama wampeleke yule mjane ikulu ndogo ili amweleze shida zake ni sahihi kweli? Kwa nini asitoe maagizo kwa mwenyekiti wa UWT? Hivi nae akiwa peke yake anafikia Ikulu ndogo?

"Rushwa ilipingwa na nchi yetu zama za TANU hata vyama vya upinzani havikuwepo, ambapo katika ahadi za wana TANU zilisema kuwa rushwa ni adui wa haki sitatoa wala kupokea rushwa sasa kama kwa wapinzani kama hawana sera wanyamaze kuliko kusema kitu wasichokijua" alisema Mama Salma (Mtanzania, 15/09/2010, uk. 3).

Moja, huyu mama hajui historia ya nchi yetu, kwani wakati wa miaka ya mwanzo baada ya uhuru kulikuwa na vyama vya upinzani. Pili, vita vya rushwa si vya maneno ni vya vitendo; je, Andy Chenge na Idrissa kuhusu rushwa ya rada CCM na chombo chake TAKUKURU wamewafanya nini mpaka sasa? Tatu, hivi Dr. Slaa na Prof. Lipumba hawaijui hii nchi kama anavyoijua huyu mama? Nne, naomba huyu mama alete data zenye inference kutoa ushahidi dhidi ya vita ya rushwa na ushindi wa serikali kwenye vita hivyo. tano, atuambie kwa nini ripoti ya Warioba sehemu ya pili imefichwa kabisa na serikali? Sita, hivi kati ya mumewe na Dr. Slaa nani ameiga kutumia helikopta kwenye kampeni? Saba, hivi WAMA ni sister organisation ya UWT?

Tafadhali uisimwite Mama....hili ni neno tukufu...watu wanaoleta kichefuchefu hawawezi kuwa mama....mwite Salima inatosha au Mrs.Kikwete
 
Ndo maana Museveni wa Uganda kwa kuyaona haya alimpa mkewe uwaziri...........:confused2:
 
hasira hizo mkuu... taratibu

FYI, wengi wanamu-ignore tu huyu mama... hana impact yoyote kwa taifa aisee, labda kwenye fashion za nguo na vilemba

Hee ndugu! uko serious au unatania!! kama hujui basi huyu ndo mwenye sauti NYUMBA NYEUPE Palee magogoni, Mzee Chekacheka kazi yake ni kutangaza tu alichotaka Bi Mkubwa.
 
Back
Top Bottom