Ngonalugali
JF-Expert Member
- Jan 12, 2008
- 659
- 102
Zaidi ya yote nimeongea kwa mujibu wa mtoa mada. Kama utaangalia kwa makini nilichokisema kimetokana na kichwa cha habari nilichoki-qoute.Ngonalugali,
Heshima yako natanguliza mbele.
Kisha najaribu kukuelewa kuhusu hayo ulosema...Huyo
mtoto aliyekatwa kichwa kwani alimsema vibaya Mama Rwakatare?
Kisha naona unasifia nguvu za msalaba na kaburi...najua these
are some main tenets of the christian religion and the
Christians know it better.Kama wasemavyo there is power in those
two but what people are debating over here is the fact that
Mama Rwakatare anatumia dini kuendeleza mambo yake binafsi na
sio mambo ya Mungu.
Nadhani mpaka hapo umenielewa!