Remmy
JF-Expert Member
- Jun 9, 2009
- 4,701
- 1,799
Nahisi dalili ya kitu kizito chenye ncha kali kinachosadikiwa kuwa ni bomu kurushwa kutokea upande usiojulikana!!!
Hahaaaaaaaaaaa....umenipeleka tanuruni kwa kina Kimeta wa Mpui.
Nahisi dalili ya kitu kizito chenye ncha kali kinachosadikiwa kuwa ni bomu kurushwa kutokea upande usiojulikana!!!
Waliosema hivyo waongo, mbona mie nimewalamba kama sita hivi na sijafa wala kuskia tumbo kuuma
Hakuna amani hapa
Mbona kama hili saga Mtambuzi alishalimaliza kwa ushahidi wa picha na mtoa mada akakimbia kujibu!
Hakuna amani hapa