Mama na mwana

RGforever

JF-Expert Member
Apr 3, 2011
6,878
5,424
Mama mmoja mswahili na
mwanawe wa miaka 5
walikuwa ndani ya taxi
usiku wakapitishwa mitaa
ambayo kuna wanawake
wanajiuza:-

MTOTO:"Mama hao watu
waliosimama kando ya
barabara wanafanya nini?"


MAMA:"Wanasubiri
wanaume zao watoke
kazini waje kuwachua warudi nao nyumbani."

TAXI
DRIVER:"Aaaah mama
acha uwongo mwambie
mtoto ukweli...hao ni
malaya na hapo walipo
wanasubiri wanaume wafanye sex nao kwa malipo!"

MTOTO:"Mama na watoto
wanaozaliwa na hawa
wanawake hufanya nini?"

MAMA:"Wanakuwa
madereva wa taxi!"
 
Back
Top Bottom