Mshume Kiyate
JF-Expert Member
- Feb 27, 2011
- 6,766
- 894
Baada ya wiki mbili za harusi mama mtu alimuuliza mwanae wa kike, vipi maisha ya ndoa mwanangu? mtoto akamjibu mama yake: du mama maisha kama vile British Airways, mama mtu akatoka nduki mpaka Airport, akaenda kuangalia ratiba ya ndege akakuta kwa wiki mara 7 (saba) na kila siku inaenda trip 3 (tatu) mama mtu pale pale akazimia.