mama na binti kwa zee la Nyeti

MPAMBANAJI.COM

JF-Expert Member
Mar 2, 2011
712
331
Katika hali ya kustaajabisha, Mzee mmoja hapa kijijini kwetu amemkuta binti shambani kwake akikata kuni juu ya mti.Nisme alikua anaiba kuni. Mzee alimtokea kwa kumvizia na wengi tulikua tunaomba Mungu binti yule asije akathuriwa na yule Mzee kwani kweli ni baadhi ya wazee katili sana. Lakini kwa mshangao Mzee aliwa ameshikilia panga alimwamgalia binti aliyejuu ya mti na kuanza kutabasabu kwani binti alikua amevaa sketi na kuweka miguu katika matawi tofauti.Hii iliruhusu uwazi. Mzee taratibu alimsihi Binti asuke juu ya mtii na kahidi kumpa tshs 20000. Binti hakuamiani na alimsihi aziache hapo chini na Mzee aondoke. Mzee alikubali na binti alishuka na kuchukua kuni pamoja na zile pesa mbio nyumbani.Alifika nyumbani na kumweleza mama yake kilichojiri. Kwa tamaa Mama naye alienda eneo la mzee na kukata kuni.Mzee kama kawaida aligundua wizi uliopo na kwenda kasi kumkamata mwizi wake. Kwa mshangao Mzee aliangalia juu kama kwa na kukutana na tofauti. Kisha akatoa nyembe na kumpa yule mama. je walikuwa wamevivaa au?
 
Back
Top Bottom