''MAMA MWENYE NYUMBA'' vs ''MPANGO WA KANDO''-WHO ENJOYS?

Ndo maana ndoa nyingi hazina utamu coz kwa kuogopa kwe2 kuwafanyia wake zetu hayo Mambo unayosema ni laana, hata wao wanayapenda ndo maana wanajaribu kutafuta nje ya ndoa!!!
Kwanini 2cpeane kila ki2?? Inabidi 2zlinde ndoa ze2 na 2we wabunifu wote 2!!!!
MKUU INJINIA.....!
ashakum SI MATUC naomba niwe straight kumsaidia bacha!

what if ''mpango wa nje'' anatoa ''mlango wa dharura''? utaenda kwa mkeo kuomba akupe ''imejens exit?''
 
WAKUU,
HABARINI ZA MAJILIO?

naomba mawazo yenu katika muendelezo ule ule wa ''kuelezana ukweli unaohuzunisha''.....

ASSUMING KWAMBA SITUATION IMETOKEA HIVYO na baba mwenye nyumba ameamua kuwa na ''mpango wa kando'' kwa sababu zozote zile,mi nataka tupeane mawazo kwamba hivi ni nani anaeinjoi mapenzi zaidi ya mwenzake kati ya:

1)-MAMA MWENYE NYUMBA
-ambaye ndo mke wako wa ndoa
-ambaye ndo yuko responsible bega kwa bega na wewe katika kuikuza familia
-ambaye anavumilia kwa hali yoyote ile muda wowote ule utakao amua kurudi
-ambaye muda wote wa usiku wa giza anakuwa na mawazo kibao kwamba ''mume wangu amepatwa na nini''
-ni mke wako ''enewei'' na she is entitled to whatever is brought for the family
-ambaye utakata roho ukiwa mikononi mwake

2)-MPANGO WA NJE.
-she is entitled to kampani,route na vikao vyote vya pombe/movie etc
-anapewa nafasi ya kuagiza chochote anachotaka mkiwa baa
-anapewa nafasi ya kupelekwa shoping na kujiagizia chochote
-anakuwa na uhakika wa credits,means za tranzport (hata kumrash home kila siku sio ishu)
-anapewa nafasi adimu ya kuchat na wewe 24/7
-anapewa nafasi ya kudeka anavyotaka
-anapewa nafasi ya kunisindikiza arusha kuungana na pakajimi na kampani kubwa ya jf ya ARACHUGA


TUSAIDIANE HAPO MAWAZO,who is enjoying?
....and why?
Skiza Dogo.

Mwanaume hajaumbwa kwa ajili ya mwanamke mmoja. Wanawake wanalielewa na kulikubali hilo. Mwanamke anapoamua kuolewa anakuwa ameshakubali kuwa mama wa familia, wa kumtunza mme na watoto, katika shida na raha, huku akijua kuna mwanamke/wanawake wenzie wanaomsaidia japo kwa siri. Anachofaidi ni uhakika wa joto la mwanaume wakati wa usiku, ulinzi imara wa mwanaume, watoto wa kumuita mama, heshima mbele ya jamii nk nk nk

Mpango wa nje ni tofauti na mama mwenye nyumba. Unajua hauna uhakika wa umiliki wa mwanaume kwa 100%. Unajua mwanaume huwa haridhiki na mama mwenye nyumba ambaye anakuwa bize na majukumu ya kifamilia. Kwa hiyo nao unahitaji kile ambacho hauna uhakika wa kukipata kila siku. Na mwanaume akinogezwa mpango wa nje unapewa heshima, huduma na shughuli inayostahili.

Nani anayefaidi? Inategemea: Mwingine anafaidi heshima, ulinzi wa uhakika na joto la mwanaume wakati wa usiku. Mwingine anafaidi penzi la kiukweli la kijinsia na huduma kama alizozitaja mheshimiwa Teamo.

Wanawake ndio wanajua nani anafaidi zaidi, na wana hiari ya kuchagua. Kwakuwa NDOAS are ARE THERE TO EXIST and INFIDELITY IS THERE TO STAY.


Narudi kitandani kulala.
 
MKUU INJINIA.....!
ashakum SI MATUC naomba niwe straight kumsaidia bacha!

what if ''mpango wa nje'' anatoa ''mlango wa dharura''? utaenda kwa mkeo kuomba akupe ''imejens exit?''
Kama una-imejens unaenda kuji-express kwa Mpango wa nje.
 
Skiza Dogo.

Mwanaume hajaumbwa kwa ajili ya mwanamke mmoja. Wanawake wanalielewa na kulikubali hilo. Mwanamke anapoamua kuolewa anakuwa ameshakubali kuwa mama wa familia, wa kumtunza mme na watoto, katika shida na raha, huku akijua kuna mwanamke/wanawake wenzie wanaomsaidia japo kwa siri. Anachofaidi ni uhakika wa joto la mwanaume wakati wa usiku, ulinzi imara wa mwanaume, watoto wa kumuita mama, heshima mbele ya jamii nk nk nk

Mpango wa nje ni tofauti na mama mwenye nyumba. Unajua hauna uhakika wa umiliki wa mwanaume kwa 100%. Unajua mwanaume huwa haridhiki na mama mwenye nyumba ambaye anakuwa bize na majukumu ya kifamilia. Kwa hiyo nao unahitaji kile ambacho hauna uhakika wa kukipata kila siku. Na mwanaume akinogezwa mpango wa nje unapewa heshima, huduma na shughuli inayostahili.

Nani anayefaidi? Inategemea: Mwingine anafaidi heshima, ulinzi wa uhakika na joto la mwanaume wakati wa usiku. Mwingine anafaidi penzi la kiukweli la kijinsia na huduma kama alizozitaja mmoja wao.

Wanawake ndio wanajua nani anafaidi zaidi, na wana hiari ya kuchagua. Kwakuwa NDOAS are ARE THERE TO EXIST and INFIDELITY IS THERE TO STAY.


Narudi kitandani kulala.
ha ha ha ha ha!
hii ni XXL
 
hilo swali kwakweli kila mtu atakuwa na majibu yake......

lakin mi naamini kuna kitu ambacho ''wanaume wengi'' kimekuwa kama fumbo hivi kwetu......!yani mtu unajikuta tu umeangukia kwenye ''mpango wa nje'' bila hata kujua.YOU FIND YOURSELF IN!

Hii inatokana na MOTHER HOUSE kutokuwa wabunifu katika Majamboz!! Pls 2peane mambo bila kuogopa hizo 2nazoziita laana!!! Uone kama utaenda kwa MPANGO WA KANDO coz unachokpata huko MOTHER HOUSE anakupa!!
 
sitaki kushangaa mkubwa......zinatoka kwako zinaenda kwa Teamo,.sasa nani mjinga hapo??!!!!

Hivi hatibreka umesema hii mada ina-share dinomineta sio? so tukonstreti na denominator tu au?
 
Yap coz utakuwa unapata raha zote unazozitaka Pls mkuu 2wape nafasi!!!
Hivi MPANGO WA NJE nini cha zaidi mkuu?????

Engineer tatizo hapo ni huo muda wa kuwapa hao mother house kwani wametingwa na majukumu, kiasi kwamba hakuna tena innovative ideas kama zile zilizopo mpango wa nje!!!!raha zinazopatikama kwa mother house zipo na zitaendelea kuwa maintained hio haina ubishi, na hizo raha ndio zinazoleta mpango mzima!Lakini mpango wa nje kuna taste zake kamwe huzipati kwa mother house hata ukatambike!!!!
Lakini kumbuka mother house wako anaweza kuwa mpango wa nje wa mtu mwingine!sasa sijui hapa ni kiini macho au ni kama vicious cycle fulani!!!!mmmmmmh kazi ipo............
 
lakin mama wa kwanza hebu nambie hapo,ninyi mkiwa na ''MPANGO WA NJE'' (hasa akiwa mfupi na sio mweupe) huwa mnafanyaje/mnakuwaje?
sasa hapo inategemea na mtu na mtu.yawezekana baba mwenye nyumba naye akawa mfupi na mweusi kama mpango wa nje haitokuwa na neno.siku zote huwez tafuta mpango wa nje usiokupa raha au kukuvutia.kwa mie siwez tafuta mpango wa nje mweupe
 
Engineer tatizo hapo ni huo muda wa kuwapa hao mother house kwani wametingwa na majukumu, kiasi kwamba hakuna tena innovative ideas kama zile zilizopo mpango wa nje!!!!raha zinazopatikama kwa mother house zipo na zitaendelea kuwa maintained hio haina ubishi, na hizo raha ndio zinazoleta mpango mzima!Lakini mpango wa nje kuna taste zake kamwe huzipati kwa mother house hata ukatambike!!!!
Lakini kumbuka mother house wako anaweza kuwa mpango wa nje wa mtu mwingine!sasa sijui hapa ni kiini macho au ni kama vicious cycle fulani!!!!mmmmmmh kazi ipo............
hapo mzee LOUD and CLEAT umesomeka
 
MKUU INJINIA.....!
ashakum SI MATUC naomba niwe straight kumsaidia bacha!

what if ''mpango wa nje'' anatoa ''mlango wa dharura''? utaenda kwa mkeo kuomba akupe ''imejens exit?''

Duh!!! Laana hiyo kama alikuwa anamaanisha hivyo ASHINDWE kwa JINA LA YESU!!!!
 
sasa hapo inategemea na mtu na mtu.yawezekana baba mwenye nyumba naye akawa mfupi na mweusi kama mpango wa nje haitokuwa na neno.siku zote huwez tafuta mpango wa nje usiokupa raha au kukuvutia.kwa mie siwez tafuta mpango wa nje mweupe
haya bana!
tuendelee na sredi ili mtiririko uwe unaeleweka
 
Duh!!! Laana hiyo kama alikuwa anamaanisha hivyo ASHINDWE kwa JINA LA YESU!!!!
pamoja na hilo pia kuna ''vionjo'' fulani ambavyo nadhan kwa ''mama mwenye nyumba'' vinakuwa vinamiss ndo maana ''ma-rijali'' wengi wanakuwa na project-mpango wa nje
 
sasa hapo inategemea na mtu na mtu.yawezekana baba mwenye nyumba naye akawa mfupi na mweusi kama mpango wa nje haitokuwa na neno.siku zote huwez tafuta mpango wa nje usiokupa raha au kukuvutia.kwa mie siwez tafuta mpango wa nje mweupe

Doh!!!! Ha ha ha ha ha BACK TO TOPIC
 
Back
Top Bottom