Tambara Bovu
JF-Expert Member
- Dec 19, 2007
- 585
- 140
kwakweli kwa maisha ya sasa ndoa hata sio nzuri.mie siitamani kabisa,hasa nikiyafikiriaga hayo uliyoeleza hapo kuhusu mpango wa nje.if that being the case........!kwanin wanawake wanadhani NDOA ni ni nzuri?
wanaume wengi ni wajinga.mbona wanawake hata tukiwa na mpango wa nje hatuwi hivyo?