Mtembea_peku
Senior Member
- Dec 15, 2010
- 135
- 1
Katika khali icyo ya kawaida ucku wa kuamkia leo nimejikuta nikimuota mama mwenye nyumba nikiibanjua amri ya 6.na wakati nimeamka nakwenda mawaliton nikamkuta uani nikajkuta nainamisha kichwa kwa aibu je ni ndo 2 au inaukwel ndani yake?NISAIDIENI JAMANI.
ndio shida ya kula vipolo usiku mnaota ndoto zisizo na mpango,aibu ya nini sasa?