Mama mwenye nyumba kaikataa kodi yangu, loh!

Atahama ngapi ? Si bora hapo akandamize apate huo ubwete wa kukaa bwerere, kama Jimama linasamehe rent!
Wakati huo kiulaaiiyyni ile pesa ya rent anaanza kudonoa Twiga Cement mfuko mmoja'mmoja.
Kulikoni uyakimbie ya C.C.M uwende ukakumbane na ya Chadema.
Ndiyo !
Hapo Pwani bwana ! Na Pwani kuna mambo yake!
Unasepa hapo kwa Bi mkubwa unahamia kwingine unakuta huko kuna Babu "Mukaka" nae anaipotezea kodi mara uje umsikie "kijana unapendeza! Kijana hivi..." na wewe na habari hizo huzielewi kabisa , unakuja mshushia mingumi Babu anazimika! Murder ya bure!
Eee bwn komaa hanohano.

Hakuna bure duniani, kama kodi ni lak3 kwa mwezi basi mama mwenye nyumba atahakikisha anachuna lak6 kwa mwezi. upo hapo.
 
unalipa kodi laki tatu kwa mwezi..bila shaka na kipato chako kitakuwa kizuri jumlisha magendo.. kwa umri wako huo 28 yrs kwa nini usioe kijana? that is only the solution for your problems mengine unayatafuta menyewe..
 
unalipa kodi laki tatu kwa mwezi..bila shaka na kipato chako kitakuwa kizuri jumlisha magendo.. kwa umri wako huo 28 yrs kwa nini usioe kijana? that is only the solution for your problems mengine unayatafuta menyewe..


Ushauri ni mzuri DotoWangu, ila kuoa pia kunahitaji maandalizi ikiwemo kumpata wa kufanana naye. Any tempo solution kwa sasa??
 
Ni kijana wa umri wa miaka 28, nimeajiriwa ktk shirika moja kubwa la umma na recently nimehamishiwa mkoani Dar. Nilipata shida sana kupata nyumba, na kwa msaada wa rafiki yangu, aliniunganishia nyumba (Vyumba viwili na sebule hapa Sinze kwa Remmy) kwa huyu mama. Ni nyumba aliyokuwa anaishi yeye rafiki yangu lakini sasa amejenga yake na kunisaidia kuipata kwa kodi ile ile aliyokuwa analipa yeye.

Ni takriban mwezi wa tatu sasa, mama mwenye nyumba amekuwa akijizungusha kuchukua kodi yake ... Kila nikimwambia nimkabidhi amekuwa hayuko siriaz akisisitiza nisiwe na wasi wasi ataniambia lini nimpe. Amekuwa mchangamfu sana, na ananizoea kwa kasi mno na wakati mwingine kadiriki hata kuniletea chakula cha jioni.

Nimeingia na hofu kwa hii speed yake, sijui nia yake, nahisi kumuelewa tofauti. Naomba ushauri, nihame?

****** Email ya mdau mmoja toka Sinza kwa Remmy anaomba ushauri ****


Kama hauzifahamu tabia za mama mwenye nyumba wako,tazama za marafiki zake.
 
kwa sinza ni mambo ya kawaida tu hayo,
usishangae hata mama mkwe akakutaka wewe.
 
Ni kijana wa umri wa miaka 28, nimeajiriwa ktk shirika moja kubwa la umma na recently nimehamishiwa mkoani Dar. Nilipata shida sana kupata nyumba, na kwa msaada wa rafiki yangu, aliniunganishia nyumba (Vyumba viwili na sebule hapa Sinze kwa Remmy) kwa huyu mama. Ni nyumba aliyokuwa anaishi yeye rafiki yangu lakini sasa amejenga yake na kunisaidia kuipata kwa kodi ile ile aliyokuwa analipa yeye.

Ni takriban mwezi wa tatu sasa, mama mwenye nyumba amekuwa akijizungusha kuchukua kodi yake ... Kila nikimwambia nimkabidhi amekuwa hayuko siriaz akisisitiza nisiwe na wasi wasi ataniambia lini nimpe. Amekuwa mchangamfu sana, na ananizoea kwa kasi mno na wakati mwingine kadiriki hata kuniletea chakula cha jioni.

Nimeingia na hofu kwa hii speed yake, sijui nia yake, nahisi kumuelewa tofauti. Naomba ushauri, nihame?

****** Email ya mdau mmoja toka Sinza kwa Remmy anaomba ushauri ****


kwa kweli mm nakushauri kwanza usile hicho chakula chake kitakuwa na kitu kibaya
pili usihame ila sisitiza kulipa kodi
Tatu kuwa seriosly na uje na mwanamke hapo ataacha kukufuata
Nne mtambulishe huyo rafiki yako wa kike kwa mama mwenye nyumba utaona atapunguza mashambilizi.
 
mkuu tafuta chumba kimya kimya, ukishapata unabanjuka naye kesho yake unakuja na pickup kubeba mizigo yako...
 
Acha kuremba wewe, kamua makituz hiyo, unakuwa ka sio kinega, aghh
 
Kula maini hayoo kaka halafu endelea kutafuta nyumba nyingine fasta mkuu halafu kimya kimya unasepa
 
Ni kijana wa umri wa miaka 28, nimeajiriwa ktk shirika moja kubwa la umma na recently nimehamishiwa mkoani Dar. Nilipata shida sana kupata nyumba, na kwa msaada wa rafiki yangu, aliniunganishia nyumba (Vyumba viwili na sebule hapa Sinze kwa Remmy) kwa huyu mama. Ni nyumba aliyokuwa anaishi yeye rafiki yangu lakini sasa amejenga yake na kunisaidia kuipata kwa kodi ile ile aliyokuwa analipa yeye.

Ni takriban mwezi wa tatu sasa, mama mwenye nyumba amekuwa akijizungusha kuchukua kodi yake ... Kila nikimwambia nimkabidhi amekuwa hayuko siriaz akisisitiza nisiwe na wasi wasi ataniambia lini nimpe. Amekuwa mchangamfu sana, na ananizoea kwa kasi mno na wakati mwingine kadiriki hata kuniletea chakula cha jioni.

Nimeingia na hofu kwa hii speed yake, sijui nia yake, nahisi kumuelewa tofauti. Naomba ushauri, nihame?

****** Email ya mdau mmoja toka Sinza kwa Remmy anaomba ushauri ****


Kwanza wewe umeoa? kama umeoa mtume mkeo aongee na mama house mambo ya kodi, au kama una tamaa za mwili na mama analipa kula hilo tunda then anza kutafuta sehemu nyingine ya kuamiaa maana huo usumbufu utakoma
 
Kwanza wewe umeoa? kama umeoa mtume mkeo aongee na mama house mambo ya kodi, au kama una tamaa za mwili na mama analipa kula hilo tunda then anza kutafuta sehemu nyingine ya kuamiaa maana huo usumbufu utakoma

Huyo Bwn Mdogo hajaoa aisee, sasa sijui unamshaurije? :A S embarassed:
 
Acha kuchukulia mambo kirahisi. Cheap is Cost.
Mlete GF wako au mkeo umtambulishe kwa mama mwenye nyumba, ukizubaa utaahibika...... hii ndo Dar ndugu yangu na hapo ndo unakaribishwa. Na mabachela kama nyie mlivyo wavivu kupika ukiletewa chakula basi unaona mtu anakujali sana kumbe ni mtego tu.
watch out guy
 
Ni kijana wa umri wa miaka 28, nimeajiriwa ktk shirika moja kubwa la umma na recently nimehamishiwa mkoani Dar. Nilipata shida sana kupata nyumba, na kwa msaada wa rafiki yangu, aliniunganishia nyumba (Vyumba viwili na sebule hapa Sinze kwa Remmy) kwa huyu mama. Ni nyumba aliyokuwa anaishi yeye rafiki yangu lakini sasa amejenga yake na kunisaidia kuipata kwa kodi ile ile aliyokuwa analipa yeye.

Ni takriban mwezi wa tatu sasa, mama mwenye nyumba amekuwa akijizungusha kuchukua kodi yake ... Kila nikimwambia nimkabidhi amekuwa hayuko siriaz akisisitiza nisiwe na wasi wasi ataniambia lini nimpe. Amekuwa mchangamfu sana, na ananizoea kwa kasi mno na wakati mwingine kadiriki hata kuniletea chakula cha jioni.

Nimeingia na hofu kwa hii speed yake, sijui nia yake, nahisi kumuelewa tofauti. Naomba ushauri, nihame?

****** Email ya mdau mmoja toka Sinza kwa Remmy anaomba ushauri ****


Hebu dadavua hapo kwenye nyekundu.. chakula kipi hicho unachoongelea?
 
HORSEPOWER

J
ana umeandika thread kwamba wewe ni kijana ambaye umemaliza form 6 na kuchaguliwa chuo kikuu dodoma na mama yako alikuja dodoma over the weekend akikuambia muongozane wote mje dar ati akuoneshe baba yako mzazi orijino maana yule unae ishi nae si mwenyewe!!

Sasa leo naona umekuja na uzi mpya kwamba una mika 28 na unafanyakazi kwenye shirika la moja "KUBWA" la umma na unaishi Dar!! mbona fix nyingi dogo?? tukuelewaje?? chuo umeacha dodoma?? huko sinza kwa remmy umehamia lini??

Jiheshimu kijana..kumbe tuna akija :"Jane_00" hata wa kiume humu JF?? Kwl JF KIBOKO..LOh
 
Back
Top Bottom