Yo Yo
JF-Expert Member
- May 31, 2008
- 11,217
- 1,702
- Thread starter
- #41
Now ur talkin….hilo ndilo tatizo ambalo wengi hawalijui…..kwa walio karibu au wafanyakazi wake huwezi kumshwishi eti huyu mama ni hero…..aende zake bana…can u imagine wafanyakazi hawana mkopo wowote toka benki???? So hana mpango mzuri na wafanyakazi wake….ndio benki ambayo wafanyakazi wanaacha kazi after 1 month!Hata hivyo alikuwa na urudness fulani na dharau kitu ambacho baadhi ya wafanyakazi humo ndani walikuwa hawampendi. Pia alikuwa akiwasikiliza mno wahindi kuliko wazawa in short wahindi walikuwa ndio wanasauti na hata wakiboronga wahindi wanachukuliwa hatua pungufu kuliko waswahili.
Hakuna zuri….au kwaku ni mwanamke basi tutafuuuuuuute zuri…aaaah wapi bana….aende zake….Yoyo nakushauri tumtaje kwa mazuri yake kwani ni mengi hayo mapungufu ya ATM ni yakawaida kwa benki za Tanzania. Nenda NMB, CRDB tatizo ni hilo hilo haimaanishi kwamba benki imeunderperform.
Hakuna la kujifunzan toka kwake…..aende zake….Hongera sana mrs mwambenja you deserve it!!!