Yo Yo
JF-Expert Member
- May 31, 2008
- 11,217
- 1,702
Aliekuwa CEO bandidu wa bank ya Exim Mama Mwambenja Sabetha kapigwa chini effective tangu jana......japo wafanyakazi wameambiwa kuwa mama kaamua kustaafu lakini news za ndani inasemekana kapigwa chini na wenye benki....sasa hivi ni sherehe kubwa exim benki kwa ubandidu aliokuwa nao mama kwa wafanyakazi wake....