mama Mungu na akunyime akili kama hii..............lol!

gfsonwin

JF-Expert Member
Apr 12, 2012
18,274
20,673
Wana mmu polen kwa kazi mchana huu.

Jamani kisa hiki ni cha kweli na kiko kinasubiria mashauri ili kufikia mahali pazuri.

Baba mmoja mjeda ana ndoa yapata 25 yrs sasa, kwa bahati nzuri sana ana watoto wakubwa ambao ni college students. maisha ya familia za kijeda nafikir wengi tunayajua so huko sitaki kwenda ila haya ndiyo yalyotokea kwenye familia yake.

Mkewe mjeda kwa siri kaamua kuuza mali za familia ambazo baba ndiye aliyezichuma kwasababu ya kuwa yeye ndio source of income nyumban na mama alikuwa ni goli kipa kitu. Mama huyu kauza nyumba maeneo fulan ambayo baba aliijenga ili atakapo staafu akapate mahalia pa kuish kuliko kubanana na watoto mjini, pia kauza kiwanja kingine kikubwa cha familia. Ha yote huyu mama anayafanya akishirikiana na watoto pasi kumwambia baba chochote. na pia aliuza wakati baba huyu alipopelekwa masomon na jeshi so akawa mbali na familia kwa wakati huo.

hela hizi mama kazitumia kumpeleka mtoto chuo nje ya nchi na kwa hesabu za haraka haraka ni kama sh mil 14 zinahitajika kwa mwaka kwaajili ya ada ya huyu kijana level ya elimu ni kusoma degree ya kwanza. wakati taratibu zote hizi zinapangwa mama hakumuhusisha baba hata kidogo na baba alikuja kumbiwa a week before kuwa mtto anakwenda ulaya kusoma alipohoji kivipi mama ikabidi amwambie ameuza nyumba na kiwanja.

Baba kuskia hivyo presha juu, akakasirika sana, alipohoji kwa hasira mtoto huyu ambaye anapelekwa ulaya akamkashifu baba yake kwamba mbona yeye amekuwa mjeda na haoni faida yake nzaid tu ya kuskia ana madem nje? tena akamwambia bora niende na mimi huko manake wewe hata dem wangu waweza kutembea nae tu nikimleta hapa home.

Baba kuyaskia na haya alishindwa kuvumilia akamtolea mwanae utupu wake akamwambia kama wewe niikutoa humu basi utakuwa kama kizibo cha kalam kinavyoning,inia kwenye mfuko wa shati. na sitaki kuona mtu akimleta padri hapa kuja kunibmbeleza juu ya kauli yangu.Baada ya kusema hayo hakuendelea kusema neno ingine akaa kimya.

sasa imebidi kijana asafiri tu kwenda shule mama yupo, na binti liyekuwepo wakati wa ugomvi ndiye aliyekwenda kusema kilichotokea. hivi kweli hii ni akili au matope? Na kwanini wanawake hatujifunzi kuwa kukosa akili kwa mara moja tu kwaweza kuondoa amani na ushirikiano ulioujenga kwa miaka mingi sana?

naombeni mawazo yenu kama ushauri ili kuinusuru familia hii na laana na mikosi ambayo tayari sasa imeingia.
 
mwanamke kaharibu sana, je alichunguza tuhuma za hao vimada aliowasema kwenye ugomvi? nampa pole mzee kwa kuoa kiazi.
 
labda baba alipoenda nje ya nchi alikaa mda mrefu sana na mawasiliano yalikatika mpaka nyumbani wakakata tamaa ya kumwona tena.Ila mama hajachukua uamuzi mzuri kuuza mali bila kumshirikisha mme
 
Huyo mama kichwani inaonekana hakuna kitu kabisa, sasa kamkomoa nani? Maana nyumba hiyo ndiyo angeishi yeye na watoto wake na familia yake kwa ujumla baada ya kustaafu!
Namsikitia pia kuwa na kijana wa kiume bogus kama huyo ambaye anashirikiana na mama yake kuingamiza familia yake mwenyewe!
Sijui wanafikiri wataendelea kuishi nyumba za kupanga mpaka lini?!
 
Laana ikishatolea na mtu haiwezikuisha hadi aliyetoa asamehe huyo kijana imekula kwake!!!
 
Mjeda inabidi amtandike risasi mbili za masaburi kila pande manina sana huyo mwanamke
 
Huyo mama anafikilia kuwa kumsomesha mtoto nje kwa ghalama ya kuuza asset za familia kwamba anamkomoa mume wake na eti mtoto atakuja kumsaidia baadae hata kama watakua wameachana na mume wake(just my thoughts).Hajui kama huyo mtoto aliempeleka nje anaweza asimsaidie chochote nafuu angemsomesha hata kwenye vyuo vyetu vya kata akapata boom maana matumizi yangepungua
 
huyo mama akili yake haifanyi kazi kabisa na pia hata huyo dogo ndio imekula kwake asitegemee hata anakoenda kusoma atasoma kwa amani kitakacofuta anaweza kuwa mhuni au hata mlevi wakupindukia
 
Akili tope!
Mtoto anamfundisha baba yake jinsi ya ku do na mama yake. Kauzu zaidi ya dagaa.
wana mmu polen kwa kazi mchana huu.

Jamani kisa hiki ni cha kweli na kiko kinasubiria mashauri ili kufikia mahali pazuri.

Baba mmoja mjeda ana ndoa yapata 25 yrs sasa, kwa bahati nzuri sana ana watoto wakubwa ambao ni college students. Maisha ya familia za kijeda nafikir wengi tunayajua so huko sitaki kwenda ila haya ndiyo yalyotokea kwenye familia yake.

Mkewe mjeda kwa siri kaamua kuuza mali za familia ambazo baba ndiye aliyezichuma kwasababu ya kuwa yeye ndio source of income nyumban na mama alikuwa ni goli kipa kitu. Mama huyu kauza nyumba maeneo fulan ambayo baba aliijenga ili atakapo staafu akapate mahalia pa kuish kuliko kubanana na watoto mjini, pia kauza kiwanja kingine kikubwa cha familia. Ha yote huyu mama anayafanya akishirikiana na watoto pasi kumwambia baba chochote. Na pia aliuza wakati baba huyu alipopelekwa masomon na jeshi so akawa mbali na familia kwa wakati huo.

Hela hizi mama kazitumia kumpeleka mtoto chuo nje ya nchi na kwa hesabu za haraka haraka ni kama sh mil 14 zinahitajika kwa mwaka kwaajili ya ada ya huyu kijana level ya elimu ni kusoma degree ya kwanza. Wakati taratibu zote hizi zinapangwa mama hakumuhusisha baba hata kidogo na baba alikuja kumbiwa a week before kuwa mtto anakwenda ulaya kusoma alipohoji kivipi mama ikabidi amwambie ameuza nyumba na kiwanja.

Baba kuskia hivyo presha juu, akakasirika sana, alipohoji kwa hasira mtoto huyu ambaye anapelekwa ulaya akamkashifu baba yake kwamba mbona yeye amekuwa mjeda na haoni faida yake nzaid tu ya kuskia ana madem nje? Tena akamwambia bora niende na mimi huko manake wewe hata dem wangu waweza kutembea nae tu nikimleta hapa home.

Baba kuyaskia na haya alishindwa kuvumilia akamtolea mwanae utupu wake akamwambia kama wewe niikutoa humu basi utakuwa kama kizibo cha kalam kinavyoning,inia kwenye mfuko wa shati. Na sitaki kuona mtu akimleta padri hapa kuja kunibmbeleza juu ya kauli yangu.baada ya kusema hayo hakuendelea kusema neno ingine akaa kimya.

Sasa imebidi kijana asafiri tu kwenda shule mama yupo, na binti liyekuwepo wakati wa ugomvi ndiye aliyekwenda kusema kilichotokea. Hivi kweli hii ni akili au matope? Na kwanini wanawake hatujifunzi kuwa kukosa akili kwa mara moja tu kwaweza kuondoa amani na ushirikiano ulioujenga kwa miaka mingi sana?

Naombeni mawazo yenu kama ushauri ili kuinusuru familia hii na laana na mikosi ambayo tayari sasa imeingia.
 
Duh! Sasa hii akili au matope..............

sasa Mtambuzi kama wewe umeletewa shauri hili ili uwashauri wewe ungemwambia huyo mama afanye nini na huyu baba je? ok najua mama na mtoto wamekosea lkn je baba kafanya sahihi kumlaani mwanae?
 
Last edited by a moderator:
kufanikiwa kwa mwanaume mara nyingi huwa kuna efforts za mwanamke! na anguko lake pia ni huyo huyo MWANAMKE! pole kwa huyo baba! ila kweli ujinga unatofautiana viwango!
 
baba yupo sahihi asilimia mia? mi nina wasiwasi na mama na mtoto, upendo umezidi uwezo. si unajua watoto wa siku hizi may be kuna kitu kimejifisha hapo
 
labda baba alipoenda nje ya nchi alikaa mda mrefu sana na mawasiliano yalikatika mpaka nyumbani wakakata tamaa ya kumwona tena.Ila mama hajachukua uamuzi mzuri kuuza mali bila kumshirikisha mme

sasa Level hapana level huyu mjeda alikuwa mtu wa kuijali sana familia but ni kama vile mama alitaka sifa ya kumuona mtoto anasoma huko majuu. anyway makosa yameshatokea sasa je baba alikuwasahihi kumlaani mwanae?
 
Last edited by a moderator:
Hizi ndiyo hasara za kuoa vilaza.. Matokeo yake Mtoto kabeba akili za mamaake!
 
Back
Top Bottom