Ambassador
JF-Expert Member
- Jun 2, 2008
- 933
- 75
Mama mkwe hakuridhika na mtoto aliyezaliwa na mke wa mwanae na majibizano yalikuwa hivi:
Mama mkwe: "Binti samahani, ukweli mtoto hafanani na kijana wangu kabisaaa"
Binti: "Bila samahani mama, huku chini nina njia ya uzazi, sio mashine ya fotokopi!"
Mama mkwe: "Binti samahani, ukweli mtoto hafanani na kijana wangu kabisaaa"
Binti: "Bila samahani mama, huku chini nina njia ya uzazi, sio mashine ya fotokopi!"