Prince Nadheem
JF-Expert Member
- Feb 25, 2012
- 1,253
- 1,028
Habari za jumanne ya leo wana JF? Nadhani imekaa vyema kabisa.mimi leo ningependawasilisha ishu moja nimepewa na rafiki yangu mmoja wa kike. naomba nieleweke kuwa hatuna uhusiano wa aina yoyote ile zaidi ya urafiki wa kawaida jamani.
huyu rafiki yangu ana boyfriend ambae awali walitegemea au wanategemea kuwa pamoja endapo wakilivuka hili suala linalofukuta. Hapa namaanisha dada endapo atastick with the guy.
Ishu ni kwamba mshikaji ndio the one and only katika familia yao yaani hakuna mtoto mwingine na hivyo sasa wako so close na mama yake zaidi ya mtu mwingine yeyote hapa duniani.kwa muktadha huo sasa ni kwamba huyu jamaa anakosa hata muda wake wa private. kazini wanaenda wote asubuhi na mama yani mshkaji anamdrop kwanza mama then ndio asogee kwake na jioni tune inakuwa ndiyo hiyo hiyo. jambo lingine hata ofisi zao ziko jirani sana.
Mama kila sekunde ni anapiga simu kumtrace jamaa kumuuliza alipo na anafanya nini. Ikifika jioni normally around saa 12 jioni hata kama yupo maeneo kupata 1 moto 1 baridi ni lazima aambiwe rudi home sasa ni usiku!
kwa hiyo kwa hizo pini wanazopigwa wanakosa hata muda wa kutosha kuwa pamoja as lovers kwani jamaa nae yupo very submissive kwa oda za mama yake hivyo bi dada anashindwa kuenjoy na mshkaji kabisaaaaaaaaa.
So the only thing ni kuwa bi dada anaona km katika mahusiano anapewa back seat na huyo mshikaji katika hayo mahusiano.dada hana hata pozi anasema yupo njia panda
naombeni ushauri nikamshauri huyu bi dada.
huyu rafiki yangu ana boyfriend ambae awali walitegemea au wanategemea kuwa pamoja endapo wakilivuka hili suala linalofukuta. Hapa namaanisha dada endapo atastick with the guy.
Ishu ni kwamba mshikaji ndio the one and only katika familia yao yaani hakuna mtoto mwingine na hivyo sasa wako so close na mama yake zaidi ya mtu mwingine yeyote hapa duniani.kwa muktadha huo sasa ni kwamba huyu jamaa anakosa hata muda wake wa private. kazini wanaenda wote asubuhi na mama yani mshkaji anamdrop kwanza mama then ndio asogee kwake na jioni tune inakuwa ndiyo hiyo hiyo. jambo lingine hata ofisi zao ziko jirani sana.
Mama kila sekunde ni anapiga simu kumtrace jamaa kumuuliza alipo na anafanya nini. Ikifika jioni normally around saa 12 jioni hata kama yupo maeneo kupata 1 moto 1 baridi ni lazima aambiwe rudi home sasa ni usiku!
kwa hiyo kwa hizo pini wanazopigwa wanakosa hata muda wa kutosha kuwa pamoja as lovers kwani jamaa nae yupo very submissive kwa oda za mama yake hivyo bi dada anashindwa kuenjoy na mshkaji kabisaaaaaaaaa.
So the only thing ni kuwa bi dada anaona km katika mahusiano anapewa back seat na huyo mshikaji katika hayo mahusiano.dada hana hata pozi anasema yupo njia panda
naombeni ushauri nikamshauri huyu bi dada.