Bujibuji Simba Nyamaume
JF-Expert Member
- Feb 4, 2009
- 74,738
- 155,421
Mulobwike bhandu bhosa?
Heri ya mwaka mpya?
I wish ya'll happy new year.
Jamani huku uswahilini kwetu hakupungukiwi viroja.
Kuna jirani yangu ameoa, ila anakwaa ukweni, yaani nyumbani kwa mama wa mkewe.
Sio kwamba jamaa hajiwezi, ila kuna tetesi jamaa kapigwa mpapai kiasi kwamba amewasahau wazazi wazazi wake na kumhudumia mama mkwe kiasi cha kumjengea nyumba salasala wakati baba na mama mzazi yake wametimuliwa kwenye nyumba za magomeni kota na zikivunjwa hawana pa kwenda.
Sasa huyu jamaa kumbe wakati akiwa anamhemea mkewe usiku mama mkwe huenda dirishani na kijisimu cha tochi na kuanza kupiga deo.
Usiku wa kuamkia leo jamaa wakamshtukia mpiga deo wao.
Wakanipigia simu kuwa niende kwenye dirasha lao kuna kibaka anataka kuwaibia, ile kuzunguka nikamkuta maza hausi laiv.
Kibaya zaidi na mimi nlikuwa nimeamsha majirani wengine kwa hofu ya kushindwa nguvu na vibaka hao.
Mama mkwe alipoulizwa kwanini anamulika na tochi chumba cha mwanawe aliyeolewa, akajitetea kuwa anataka kujua kama kijana anaweza kumtunza binti yake ama lah.
Heri ya mwaka mpya?
I wish ya'll happy new year.
Jamani huku uswahilini kwetu hakupungukiwi viroja.
Kuna jirani yangu ameoa, ila anakwaa ukweni, yaani nyumbani kwa mama wa mkewe.
Sio kwamba jamaa hajiwezi, ila kuna tetesi jamaa kapigwa mpapai kiasi kwamba amewasahau wazazi wazazi wake na kumhudumia mama mkwe kiasi cha kumjengea nyumba salasala wakati baba na mama mzazi yake wametimuliwa kwenye nyumba za magomeni kota na zikivunjwa hawana pa kwenda.
Sasa huyu jamaa kumbe wakati akiwa anamhemea mkewe usiku mama mkwe huenda dirishani na kijisimu cha tochi na kuanza kupiga deo.
Usiku wa kuamkia leo jamaa wakamshtukia mpiga deo wao.
Wakanipigia simu kuwa niende kwenye dirasha lao kuna kibaka anataka kuwaibia, ile kuzunguka nikamkuta maza hausi laiv.
Kibaya zaidi na mimi nlikuwa nimeamsha majirani wengine kwa hofu ya kushindwa nguvu na vibaka hao.
Mama mkwe alipoulizwa kwanini anamulika na tochi chumba cha mwanawe aliyeolewa, akajitetea kuwa anataka kujua kama kijana anaweza kumtunza binti yake ama lah.