Mkare_wenu
JF-Expert Member
- Mar 11, 2011
- 1,714
- 442
Hii ni picha ya mpenz wangu tuliyeweka malengo ya kufunga ndoa,cha ajabu nimempeleka nyumban kwa wakwe kumtambulisha mama kakataa katakata wakati ye ndo aliyenishauri nioe kwa kuwa umri umekwenda.wanaJf mnanishaurije na baby wangu kiukweli nampenda sana sitaki kumpoteza...