fazaa nilielewa kuwa Erotica kaandika kuwa vichanga vya miez mitatu viko home,haviko na nyie hapo kwenye eneo la hatari,ndio maana nikasema bibi yao akiokolewa pia anaweza kuwalea,maana erotica alionesha kuwa wife ni muhimu aokolewe sababu vichanga vilivyoachwa home vinamuhitaji avilee.queenkami Sijasema napenda vichanga vife, hapo lazima ujuwe Erotica kauliza swali nichagua nani wa kumsave kati yao...Kama ni ushauri wangu sipendi kuwakosa wote lakini unapoulizwa nani bora kati yao apoteze maisha yake ni bora hako kachanga...Nadhani umenipata sasa.
Last edited by a moderator: