Global Publishers wanaweza kupata picha za mtu hakiwa guest house na mke wa mtu nini kinayashinda magazeti kupata picha za mama aliyeko hospital au hadithi haziuziki siku hizi.
Hii ni ile laana ya kuua albino imefika kwa Mungu! Yaelekea huko kanda ya ziwa madeal yote ni ya kishirikina tu!! Walianza kunyiga watu, wakaua maalibino, sasa wanataga mayai kama kuku!!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.