Grader
JF-Expert Member
- Feb 23, 2009
- 445
- 64
Mama mjamzito ajifungua mayai mawili badala ya mtoto katika hospitali ya misheni ya Ndala- Nzega, Tabora. Habari zinasema ya kuwa mama huyo alikuwa anahudhuria kriniki kama kawaida na siku zilipofikia za kuzaa alipelekwa hapo na kulazwa ili kusubiri kuzaa. Cha ajabu alipopelekwa labour alijifungua mayai mawili badala ya mtoto/watoto.