Katavi
Platinum Member
- Aug 31, 2009
- 41,983
- 12,701
Mkuu una postu 11,000+ kwasababu hii?
Inawezekana...
Mkuu una postu 11,000+ kwasababu hii?
Baba mungu uliye juu ya mbingu,mwangalie kijana wako excwllwnt anavyo jaribiwa na shetani mwenye miguu saba na macho 6 anajaribu,ashindwe ashindwe nakemea navunjavunja,nateketeza nachanganyikiwaaa! Eimen!!nalog off
chunia bhana patavurugika bure au unataka mpaka nikuhonge pipi
Motoni au kuzimu mtakwenda wengi, lakini utajiona ka vile uko peke yako! Usicheze na jehanam.
Bombu Ulipotelea wapi? Nilikumiss sana!
Joka lisilo na sumu, linatuuliza sasa hata tukilishauri sijui sumu litapata wapi. Ananiudhi mie.
nipo kpz nimeshachoka hapa
uwii jamani hny nakungoja
bora my dear, nlijaribu simu yako haikupatikana,
naona bidii yako bado ni ndogo
njoo huku nikupe "LOVE CHARM'
ili ulinase hili buzi haraka, lol
lol your Avatar speaks it all
si ufanye dhambi na Kabakabana,she z so much in love with u!ule uzi wake hujauonaga?alituomba tumsaidie akupate
Sina mume hapa