MNAMBOWA
JF-Expert Member
- Oct 17, 2011
- 2,051
- 359
kwanini mnataka tuamini ben kamuua? Mna nn kati yenu na watanzania? sera yenu ni majungu na unafiki leo hilo mmelitengeneza nakuona ndio mtaji, mm nawaona cdm kama chama ambacho ni KUBWA JINGA, mmejaza matukio ya kutengeneza kwenye kabati zenu mkitumia kama mitaji ya kupatia kura kila chaguzi, na huyo mh vicent aangalie sana kama anataka kuwa mwanasiasa kijana maana atakuja umbuka kwa kuendeleza majungu anakuwa kama katibu wake dr. Slaa kwa uwouwongo2. mama ameshasema kuwa Mkapa hajahusika pia vicent Aonywe na kama kuna mtu alihusika bs apumzike hamuoni mama huyu ana juwa kuwa jambo hili likiachwa lienee litaleta taabu sana katika taifa hili lakini nyie mmeona ameongopa sasa ninani anayefahamu? Au KTK ukoo wa nyerere ndo mlimuua kwa kutowashirikisha ktk uongozi wa nchi hii kama wafanyavyo marais wa nchi zingine kupachika ndg zao katika uongozi?. Wadanganyeni wajinga lakini werevu tunatambua kuwa mmeishiwa sera na mnaelekea kubaya. Pipozzy puwa.