"Mwanangu ulevi wa madaraka ni mbaya sana kuliko ulevi wa pombe. Na nilivyokusikiliza majuzi ukiongea na wale wazee mapandikizi nimekuona kuwa umeshalewa madaraka. Shauri yako kama hao marafiki zako unakubali wakudanganye, ohh! haya"
"Mwanangu waonee huruma hawa wafanyakazi sisi tulio mtaani tunaona shida na matatizo waliyonayo, hebu jaribuni kuwafikiria kidogo"
Mnh imetulia hii....."Mwanangu ulevi wa madaraka ni mbaya sana kuliko ulevi wa pombe. Na nilivyokusikiliza majuzi ukiongea na wale wazee mapandikizi nimekuona kuwa umeshalewa madaraka. Shauri yako kama hao marafiki zako unakubali wakudanganye, ohh! haya"
"Mwanangu ulevi wa madaraka ni mbaya sana kuliko ulevi wa pombe. Na nilivyokusikiliza majuzi ukiongea na wale wazee mapandikizi nimekuona kuwa umeshalewa madaraka. Shauri yako kama hao marafiki zako unakubali wakudanganye, ohh! haya"
Inaelekea huyu jamaa anaamini sana utabili wa Sheikh Yahya pamoja na Redet!! He is behaving so arrogantly as if he has already nailed his second term!! He should be warned of the perils of overconfidence!!
Mama alikwenda kumwonya kijana unakoelekea siko!