jambo1
JF-Expert Member
- Jul 5, 2009
- 241
- 29
Wakuu..!
Huyu Mama Posho naona ameibuka na mpya..!
Kuwataka wanasiasa kuacha siasa misibani bila ni sawa na kupoteza muda.,Mama posho angeonekana mwenye busara kama angewataja wanasiasa wanaofanya siasa Misibani na sio kuongea tuu kwa ujumla..!
Ifike wakati watu tusitoe kauli zilizojaa unafki ndani yake..,Mama Posho Tufunulie kwa majina na vyama vyao hoa wanasiasa wanaofanya siasa misibani..!
Nawasilisha.
Huyu Mama Posho naona ameibuka na mpya..!
Kuwataka wanasiasa kuacha siasa misibani bila ni sawa na kupoteza muda.,Mama posho angeonekana mwenye busara kama angewataja wanasiasa wanaofanya siasa Misibani na sio kuongea tuu kwa ujumla..!
Ifike wakati watu tusitoe kauli zilizojaa unafki ndani yake..,Mama Posho Tufunulie kwa majina na vyama vyao hoa wanasiasa wanaofanya siasa misibani..!
Nawasilisha.