Mama Machel alikuwa sahihi.....

Ustaadh

JF-Expert Member
Oct 25, 2009
413
19
Mama Graca machel alinukuliwa kusema “Tunachanganya, tunapofikiri kuwa kila aliye na madaraka ni kiongozi, hii si sahihi, uongozi unakuja na utu, utaifa na kujali maslahi ya unaowaongoza”

TANZANIA TULIO NAO NI WATAWALA - SI VIONGOZI.
 
Back
Top Bottom