Mama kwa Mtoto wa Kiume

Na ukweli tunaoutaka toka kwa Dena: Ni kwanini analia wivu kwa mama kufua chupi za mwanae ambaye DA ni gelofrendi wake?.....

DA popote ulipo, hela yangu yote itaishia intaneti kefu mpaka urudi hapa utuambie ni kwanini unataka wewe mwenyewe ndo ufue chupi za boifrendi wako ambazo mama mkwe wako anakusaidia kuzifua bila gharama yoyote?....Au we ukizifua huwa hazitakati?...Kuja hapa bana uchukue vidonge vyako tokea famasi na wodini.
heheh fellow tablet wewe kweli ni greti thinka bana! mpaka sasa kwenye hii sredi magreti thinka ni wawili tu, mimi na wewe, hawa wengine wanaongeza idadi ya pages tu, yaani hapo red ndio msingi wa hii sredi lakini DA kajifanya kuipamba na kuilemba ili aonekane anawajali sana majirani zake na maadili ya east afrika mashariki na kati. DA bana! leo siondoki mpaka nipewe jibu, laptopu ikiisha chaji nitaazima ya jirani.
 
Mmmmmh

Ila kwa hilo la ch*** nakukatalia. Huwezi jua chupi ya mtu bana, unless uwe na extra evidence.
Na ukitoa ch*** ktk mada yako, mengine yote yaliyobaki yanaonekana ya kawaida tu.
 
heheh fellow tablet wewe kweli ni greti thinka bana! mpaka sasa kwenye hii sredi magreti thinka ni wawili tu, mimi na wewe, hawa wengine wanaongeza idadi ya pages tu, yaani hapo red ndio msingi wa hii sredi lakini DA kajifanya kuipamba na kuilemba ili aonekane anawajali sana majirani zake na maadili ya east afrika mashariki na kati. DA bana! leo siondoki mpaka nipewe jibu, laptopu ikiisha chaji nitaazima ya jirani.
Shem DA hapa naona umelikoroga,sasa utalinywa vipi maana Klorokwin na Aspirin hawasikii cha Sheikh, Muadhin wala muongoza swala , wanakutaka wewe tu utoe maelezo kuhusu kufuli! mi naona bora ujisalimishe yaishe !
 
heheh fellow tablet wewe kweli ni greti thinka bana! mpaka sasa kwenye hii sredi magreti thinka ni wawili tu, mimi na wewe, hawa wengine wanaongeza idadi ya pages tu, yaani hapo red ndio msingi wa hii sredi lakini DA kajifanya kuipamba na kuilemba ili aonekane anawajali sana majirani zake na maadili ya east afrika mashariki na kati. DA bana! leo siondoki mpaka nipewe jibu, laptopu ikiisha chaji nitaazima ya jirani.
Kuna griit thinka mwingine hapa chini....mgongee senksi tafazali

Shem DA hapa naona umelikoroga,sasa utalinywa vipi maana Klorokwin na Aspirin hawasikii cha Sheikh, Muadhin wala muongoza swala , wanakutaka wewe tu utoe maelezo kuhusu kufuli! mi naona bora ujisalimishe yaishe !
 
Mkuu sana da Dena Amsi...Dadangu Mwandamizi msaidizi,maana Michelle ni dada mwandamizi mteule daraja la kwanza! Simtetei huyu mama wala kumkandia bt kama huyu kijana maisha yakija kumzomea (likely yanaweza) bi mkubwa huyu atakua na mchango wake uliotukuka....ivi kwanini utaratibu wetu wa JKT usirudishwe kubalance mambo maana umayai umezidi...naomba nielekeze fikra zangu katika ukanda huu japo wanaopenda kuangalia upande wa pili wa shilingi waende in detail bila kuadhiri uhuru wa kufikiri na maadili
 
nadhani kwangu ni fifty fifty sababu maadili ya kitanzania yanakiukwa sana so waweza do, they are real westernised! ingawa yaweza kuwa ni kudekezwa sometimes.
 
NI mapenzii ya kijinga yaliyopitiliza hakuna kitu. Akili za kimama tunazijua wenyewe ndiyo maana hata matusi mengi ya kijinga unatukanwa sisi kwa sababu ya mambo kama hayo.
 
Fellow tablet hapa hakuna dalili ya kujibiwa hili suali, sibitisha hapa chini. DA anasema network haishiki. khaaa! watu wana PHD za kuzima mada kiintelijensia.

Fellow tablet...sijarizika na majibu ya DA......netweki itazuiaje asituambie namna "alivyovumbua" mmiliki wa chupi alizokuwa anafua mama wa watu? Kama ni za basha wake mama, DA alijuaje? Ngoja niongee na UDOM wanigawie PhD kama ya JK ili nibishane vizuri na PhD holder wa kusepa maswali kwa hisani ya Invizibo....

Habu chaji hiyo laputopu yako tuendelee na mkesha wa kumlilia DA atuambie ukweli bana....mi nshalipia intaneti kefu mpaka kesho asubuhi, na jenereta nimekuja nalo incase TANESKOO wamechukua PAWA yao ya RESHEN.
 
Gret minds discuss ideas, average minds discuss events, narrow minds discuss people and very narrow minds discuss about themselves. From experience this is very true.
lPP431pWuwE

 
Fellow tablet...sijarizika na majibu ya DA......netweki itazuiaje asituambie namna "alivyovumbua" mmiliki wa chupi alizokuwa anafua mama wa watu? Kama ni za basha wake mama, DA alijuaje? Ngoja niongee na UDOM wanigawie PhD kama ya JK ili nibishane vizuri na PhD holder wa kusepa maswali kwa hisani ya Invizibo....

Habu chaji hiyo laputopu yako tuendelee na mkesha wa kumlilia DA atuambie ukweli bana....mi nshalipia intaneti kefu mpaka kesho asubuhi, na jenereta nimekuja nalo incase TANESKOO wamechukua PAWA yao ya RESHEN.

Wakubwa humaliza jambo kiutuuzima umesikia wewe mzee wewe..................
 
kwani nyie akina mama hamjui kwamba nyie ndo mwabeba siri ya mwana..... kama alimu "ADOPT" ili badae waanze ku "DADAVUA"....... Washangaaa eeehhh...... SODOMA na GOMORA
 
Back
Top Bottom