klorokwini
JF-Expert Member
- Dec 2, 2009
- 8,648
- 5,139
heheh fellow tablet wewe kweli ni greti thinka bana! mpaka sasa kwenye hii sredi magreti thinka ni wawili tu, mimi na wewe, hawa wengine wanaongeza idadi ya pages tu, yaani hapo red ndio msingi wa hii sredi lakini DA kajifanya kuipamba na kuilemba ili aonekane anawajali sana majirani zake na maadili ya east afrika mashariki na kati. DA bana! leo siondoki mpaka nipewe jibu, laptopu ikiisha chaji nitaazima ya jirani.Na ukweli tunaoutaka toka kwa Dena: Ni kwanini analia wivu kwa mama kufua chupi za mwanae ambaye DA ni gelofrendi wake?.....
DA popote ulipo, hela yangu yote itaishia intaneti kefu mpaka urudi hapa utuambie ni kwanini unataka wewe mwenyewe ndo ufue chupi za boifrendi wako ambazo mama mkwe wako anakusaidia kuzifua bila gharama yoyote?....Au we ukizifua huwa hazitakati?...Kuja hapa bana uchukue vidonge vyako tokea famasi na wodini.