Mama kuanza kumwomba baba tendo la ndoa, mnaonaje?

wangapi wanaweza haya maisha?


This is a very special case and unique in itself. Kwa hiyo hakuna sababu ya kudhani kwamba kuna watu wengine wanaweza kuiga. Hata hivyo ndoa zote ni unique. Hata ukiachana na mkeo au mumeo wa sasa na kuoa/kuolewa na mtu mwingine usitegemee kuendelea na mambo yetu ya sasa. Tunachoweza kujifunza hapa ni kuwa endapo watu wamechokana basi wapeane nafasi na muda ili kijitathmini kama kweli uamuzi wa awali ulikuwa sahihi. Time heals and unaweza kuona jamaa sasa wanaanza kujenga uhusiano ambao ni imara sana kuliko ule wa kwanza ambao ulikuwa na aina fulani ya usanii.

Hata hivyo naanza kujiuliza kama vijana wa kizazi cha sasa wana balanced hormones. Je wanaume wanazo testosterone (http://en.wikipedia.org/wiki/Testosterone#Physiological_effects) za kutosha na wanawake wanazo estrogen ([ame]http://en.wikipedia.org/wiki/Estrogen[/ame]) za kutosha? Naona kama kuna michanganyiko inayofanya watu waanze kuwa na vitabia vya ajabu ajabu! Mwanamke mwenye estrogen ya kutosha atakuwa mwenye kuvutia na ku-attract mpezi wake wakati wote na siyo kumfanyia jeuri. Pia mwanamume mwenye testosterone za nguvu anataka kumwonesha mke wake kuwa ni mwanamume kweli. Siyo mwanamume wa kulia lia na kukimbia matatizo madogo madogo. I think the biology is messing up things!
 
This is a very special case and unique in itself. Kwa hiyo hakuna sababu ya kudhani kwamba kuna watu wengine wanaweza kuiga. Hata hivyo ndoa zote ni unique. Hata ukiachana na mkeo au mumeo wa sasa na kuoa/kuolewa na mtu mwingine usitegemee kuendelea na mambo yetu ya sasa. Tunachoweza kujifunza hapa ni kuwa endapo watu wamechokana basi wapeane nafasi na muda ili kijitathmini kama kweli uamuzi wa awali ulikuwa sahihi. Time heals and unaweza kuona jamaa sasa wanaanza kujenga uhusiano ambao ni imara sana kuliko ule wa kwanza ambao ulikuwa na aina fulani ya usanii.

Hata hivyo naanza kujiuliza kama vijana wa kizazi cha sasa wana balanced hormones. Je wanaume wanazo testosterone (http://en.wikipedia.org/wiki/Testosterone#Physiological_effects) za kutosha na wanawake wanazo estrogen (http://en.wikipedia.org/wiki/Estrogen) za kutosha? Naona kama kuna michanganyiko inayofanya watu waanze kuwa na vitabia vya ajabu ajabu! Mwanamke mwenye estrogen ya kutosha atakuwa mwenye kuvutia na ku-attract mpezi wake wakati wote na siyo kumfanyia jeuri. Pia mwanamume mwenye testosterone za nguvu anataka kumwonesha mke wake kuwa ni mwanamume kweli. Siyo mwanamume wa kulia lia na kukimbia matatizo madogo madogo. I think the biology is messing up things!

ni kweli kila ndoa ni unique mzee, hao nakubali mia kwa mia

nadhani maisha ya isasa nayo ni tatizo. yanaonekana kuwalemea kwanza wanawake na kisha wanaume wanaathirika sawia. ni kwamba mwanamke anajaribu sasa kupitia harakati mbalimbali za kijamii na kisiasa kuondoka kwenye nafasi yake ya asili (natural)na kuisogelea nafasi ya mwanaume. hali hii inammpunguzia unyenyekevu na natural gestures na badakla yake anapata hard orientations kumwelekea mumewe ambaye hutarajia soft orientations. matokeo yake ndo unakuta watu wamo ndani ya ndoa kuheshimu sheria au kutunza watoto tu basi. motives zote za awali wakati wa urafiki wao kabla ya ndoa wanazicompromise kwa mambo haya.

naamini hawa ndugu zangu kwa sasa wako katika mchakato wa kujenga ndoa imara zaidi kuliko ile waliyovunja mahakamani. kwani hii ya sasa inasimama katika mioyo zaidi kuliko sheria. mchakato huu wa ujenzi wa ndoa mpya utakapokamilika hizo talaka watazichana wenyewe tena usishangae hata mbele ya waandishi wa habari! kwani kilicho ndani yao kitakuwa mature enough kushinda hata kifo. tusbiri tuone

natoa ushauri kwa wanawake kupuuza harakati zisizo na maana hasa zile zinazopelekea vi-ubishiubishi na ungangaringangari wa wanawake kwenye ndoa zao kwani hizi sio hulka za asili za mwanamke. pia havisaidii kitu zaidi ya kumpunguzia mwanmke mvuto kwa mumewe na hata mume akikubali ujue ni kama anafunika kombe mwanaharamu apite tu. mwisho wa yote nyumba ndogo zitatamalaki huku wanawake wakijidanganya kuwa zinasababishwa na tamaa za wanaume kumbe ni ujeuri wao ndani ya ndoa
 
ni kweli kila ndoa ni unique mzee, hao nakubali mia kwa mia

nadhani maisha ya isasa nayo ni tatizo. yanaonekana kuwalemea kwanza wanawake na kisha wanaume wanaathirika sawia. ni kwamba mwanamke anajaribu sasa kupitia harakati mbalimbali za kijamii na kisiasa kuondoka kwenye nafasi yake ya asili (natural)na kuisogelea nafasi ya mwanaume. hali hii inammpunguzia unyenyekevu na natural gestures na badakla yake anapata hard orientations kumwelekea mumewe ambaye hutarajia soft orientations. matokeo yake ndo unakuta watu wamo ndani ya ndoa kuheshimu sheria au kutunza watoto tu basi. motives zote za awali wakati wa urafiki wao kabla ya ndoa wanazicompromise kwa mambo haya.

naamini hawa ndugu zangu kwa sasa wako katika mchakato wa kujenga ndoa imara zaidi kuliko ile waliyovunja mahakamani. kwani hii ya sasa inasimama katika mioyo zaidi kuliko sheria. mchakato huu wa ujenzi wa ndoa mpya utakapokamilika hizo talaka watazichana wenyewe tena usishangae hata mbele ya waandishi wa habari! kwani kilicho ndani yao kitakuwa mature enough kushinda hata kifo. tusbiri tuone

natoa ushauri kwa wanawake kupuuza harakati zisizo na maana hasa zile zinazopelekea vi-ubishiubishi na ungangaringangari wa wanawake kwenye ndoa zao kwani hizi sio hulka za asili za mwanamke. pia havisaidii kitu zaidi ya kumpunguzia mwanmke mvuto kwa mumewe na hata mume akikubali ujue ni kama anafunika kombe mwanaharamu apite tu. mwisho wa yote nyumba ndogo zitatamalaki huku wanawake wakijidanganya kuwa zinasababishwa na tamaa za wanaume kumbe ni ujeuri wao ndani ya ndoa

mmmh
 
Hi All,

Eneo la ndoa ni nyeti sana,na unapopata nafasi ya kuwa mshauri usiwaanike wenzako hadharani,Hii ni sehemu nyeti sana.

Kama wewe ni mshauri jifunze kutunza siri za watu,kwenye ndoa tunaongozwa na confidentiality(usiri wa kutatua mambo)

Kuwa mwangalifu kwa hili

Elisante Yona
 
kaka mtoto wake yuko bomba na anaona wengine watafaidi ni bora amege mwenyewe ili kutopoteza mbegu..............kama sababu nyingine sikubaliani nayo(mfano ushauri wa waganga wa kienyeji) hata hivyo kama ni ushaurin wa daktari bora ukubali.....................
 
Hi All,

Eneo la ndoa ni nyeti sana,na unapopata nafasi ya kuwa mshauri usiwaanike wenzako hadharani,Hii ni sehemu nyeti sana.

Kama wewe ni mshauri jifunze kutunza siri za watu,kwenye ndoa tunaongozwa na confidentiality(usiri wa kutatua mambo)

Kuwa mwangalifu kwa hili

Elisante Yona

m elisante. niko makini sana siwezi kuwaanika hao ndugu zangiu hapa kwa gharama yoyoyte. hata wewe nikikuambia watafute huwezi kuwapata kwa taarifa za hapa JF. nimeleta hapa ili wanandoa na wenye talaka zao wote tushauriane, ikibidi wenye talaka zao wajifunze kutokana na hawa ndugu na wanaoendelea kuvumilia ndani ya ndoa nao waangalie wasije jikwaa. bado mapema mmno kusema "ndoa sasa basi"

tafakari
 
vipi bro salama? au tuite ambalesi? naona umejiquote mwenyewe na kujijibu mwenyewe hapo juu. au jamaa kaiba pasiwadi

wa kuwaitia ambulensi ni wana JF kwani wanaprove hoja za iddi simba za unanihii wa akili. ukikuta wanjadili mambo ya wapwa, sahnga, tusker nk utaamini kweli hapa si "home of great thinkers" hoja muhumu kama hii kuna wachache sana wanoweza kuijadili, wengi wansubiri hoja za zito, kuku kapanda baiskeli, kikwete nk! hawawezi kujadili mambo halisi ya maisha, wantaka myths, simulizi, na hisia pekee.

kwa kuchoka kutafakari huyu kadhani najijibu mwenyewe! kumbe nashusha pumzi kuwasikitikia wana JF wenzangu!
 
katika mchango wangu leo kwenye thread moja nilitoa kisa hiki cha kweli kama mfano wa kile nilichochangia. kutokana na utata wake nimeona niweke hapa kama thread inayojitegemea ili great thinkers wa JF wapate fursa ya kuijadili kwa kina kwani inatugusa sote na hususani ndoa zetu tunazozienzi daima.

kisa chenyewe ni hiki:

kuna jamaa yangu mmoja mkewe alikuwa jeuri sana hadi akampiga talaka. kwa sababu ya mtoto, jama hakumwondoa nyumbani mara moja bali alimtegea aondoke mwenyewe kwa hiyari yake na wakati wote alimpa mtaumizi kamili bila kukosa. haukupita muda yule bwana alimhurumia kwa kumwona hana raha, akamhakikishia kuwa kama hataondoka kwa hiyari yake, kamwe yeye hatamfukuzza na kumtaka aondoe mawazo, waheshimiane na kulea mtoto wao mpendwa. mama akaanza kupata amani moyoni, mume akajiona hana tena uhalali na wife kwani alishamkana. akapata nyumba ndogo, na wife akabaki kulea mtoto tu. yalipomshinda wife aliomba na anaendelea kuomba kila anapotaka na sasa ni mwaka wa pili na majuzi wamebarikiwa mtoto mwingine! wanmpenda na kumlea kwa furaha.

wasipokuambia habari yao, kamwe huwezi kujua kuwa wana talaka mikononi mwaao.

kuna wengine alifikiri ni hadithi na wengine wakasema inafafanana na filamu moja ya kihindi, lakini ni kisa cha kweli na mimi niliyekileta si tu nilichangia na kushiriki kwa hali na mali katika harusi yao bali pia nimekuwa mshauri wao mkubwa katika maisha yao ya ndoa ndio maana ni mmoja wa watu wachache sana wanojua habari hii hapa duniani.

kweli ndoa zina mambo. leteni maoni yenu tuwasaidie wenzetu na tujimulike nasi wenyewe tuko salama kiasi gani.

Mungu zibarki ndoa zetu.

Ndoa za siku hizi ni kizungumkuti...ndo maana mimi sina mpango wa kuwa na ndoa nikiwa bado kijana mbichi...Nasubiri umri uende kwanza.
 
wangapi wanaweza haya maisha?[/QUOTE]


Kimsingi ndoa haikuvunjika bali iliimarika zaid! sina hakika na Gonjwa hili
ktk mawimbi ya ndoa hii hilikupata nafasi?????????
 
JUZI NILIKUWA NAANGALIA UTAFITI WA MTAALAM WA WANYAMA WA KULE AMERIKA YA KUSINI YEYE ALIAMUA KUFANYA UTAFITI KUHUSU TENDO LA NDO KWA KILA AINA YA MYAMA (BINADAMU AKIWEPO KWANI NI JAMII YA MYAMA).

KATIKA UTAFITI ULE AMBAO UMEREKODIWA KWENYE VIDEO NA AMBAO KWA FAIDA YENU NA ILI MUWEZE PIA KUJUA MAMBO MENGINE YA DUNIANI FUNGUE MTANDAO WA http://video.pbc.org

KATIKA UTAFITI ULE, IMEONYESHA WANYAMA WOTE NI MYAMA MWENYE JINSIA YA KIUME NDIYE ANAYEANZA KUOMBA KUTAKA KUFANYA TENDO LA NDOA.

NILICHEKA KUMBE HATA NDEGE WA JINSIA YA KIUME WANAHITAJI KUDANGANYA ILI AWEZE KUPATA TENDO LA NDOA, NILIONA NDEGE MMOJA ANAIMBA HUKU ANATAZAMA JUU HIVYO AKAMFANYA NDEGE JIKE ALIYE KARIBU YAKE NAYE ATAZAME JUU, NDEGE DUME AKAMZUNGUKA NDEGE JIKE KWA NYUMA OOOOOOOOHHH AKAMPANDA.

FUNGUENI WEB HIYO MTAONA.

HIVYO SUALA LA MWANAMKE MIMI KUNIAMBIA ETI LEO ANATAKA KUFANYA TENDO LA NDOA KWA SAUTI YAKE NITAMSHANGAA SANA. ANACHOTAKIWA NI KUONYEDSHA DALILI TU. MFANO KULE TANGA, MWANAMKE AKIVAA KANGA MOJA BABA UNAJUA LEO MAMA ANATAKA KULA CHAKULA CHA WAWILI "TULE NA BWANA" SIYO MCHELE ULE WA SHAMBANI HAPANA HUO NI MCHELE MWEINGINE. KWA HERINI
 
HIVYO SUALA LA MWANAMKE MIMI KUNIAMBIA ETI LEO ANATAKA KUFANYA TENDO LA NDOA KWA SAUTI YAKE NITAMSHANGAA SANA. ANACHOTAKIWA NI KUONYEDSHA DALILI TU. MFANO KULE TANGA, MWANAMKE AKIVAA KANGA MOJA BABA UNAJUA LEO MAMA ANATAKA KULA CHAKULA CHA WAWILI "TULE NA BWANA" SIYO MCHELE ULE WA SHAMBANI HAPANA HUO NI MCHELE MWEINGINE. KWA HERINI

mzee wassegesege, kwanza hiyo link yako http://video.pbc.org haifunguki hebu angalia kama hukukosea uturekebishie tupate elimu hiyo.

pia nakushauri kuanzia sasa umuonbe mwandamu kama mnyama tofauti na wanyama wengine wote walioumbwa na Mungu. ni myama anayeweza kustaarabika wa kuongozwa na utashi wake. ni kiumbe anayeweza ku-switch between feelings and intentions. huyu ni mnyama mtawala wa wote. pamoja na umbile dogo alilonalo kulinganishwa na wanyama wengine, bado anawatawala wote hata tembo! ni mnyama ambaye akiamua kwa dhamira yake aweza kufanya chcochote! najua umewahi kusikia mtu akitafuna minofu ya maiti iliyooza ya bunadamu! ni mfano tu lakini kifupi mtu akiamua chochote anaweza, zamani ilisemwa sky iis the limit kwa mwanadamu, lkini sasa tunazungumza mengine kabisa.

nahitimisha kusema kuwa hisia za kike zaweza kuleta ugumu fulani utokanao na aibu au woga wa kuumbuka au kutdhalilishwa kwa kuomba tendo hili, lakini akiamua na akadhamiria kuomba, anaweza kuomba bila wasiwasi kama huyu kwenye hiki kisa alivyofanya!
 
kwa kifupi wote wawili wana kazi, tena kazi ya mama stable zaidi! wote wamesoma vizuri wana elimu ya juu!

nadhani tatizo la ndoa za siku hizi ni maadili zaidi, na sioni kama ni uchumi. mwanamke anajitahidi kuondoka kwenye nafasi yake anasogelea nafasi ya mwanamme, matokeo yake anaonekana jeuri na anapoteza mvuto kwa mwanamme. anapoanza unyenyekevu kwa mumewe, mapenzi nayo yanarudi taratibu. kumbuka kwenye tread ya msingi nilisema mahali, mwanamme alipomwona mkewe anakuwa mnyonge alimhurumia akamhakikishia kuwa hana mpango wa kumfukuza ndipo mwanmke alipopata amani.

kuna haja ya mwanamke ku-revisit nafasi yake ndani ya ndoa, wanaume naona wako tayari kuendelea kuwapenda wake zza ama watahesimu nafasi zao
wanawake wakifuata ushauri huu hakuna ndoa itakayovunjika
 
wanawake wakifuata ushauri huu hakuna ndoa itakayovunjika

asante kwa kuliona hili mkuu, ndio maana tuajadili na kuendelea kujadiili bila kuchoka. lengo ni kuzinusuru ndoa zetu tuzipendaza zisivunjike kwa sababu zinazozulika.

usichoke kuwaelimisha wote utakaoweza kuwafikia.

nimemsoma mara nyingi first lady hapa jamvini nimeona ni msikivu na kama sura ni yake halisi, pia anaoonekana ana mvuto. kam akifuata ushauri huu sidhani kama mumewe hata anaweza kuingiwaa kichwani na neno nyumba ndogo. lakini akiondoka kwenye nafasi yake na kutaka kupambana na mumewe katika nafasi ya mume, licha ya uzuri wa sura yake atajikuta kaanzisha ligi nya nyumba kadhaa maishani mwake na kuuukaribia zaidi ukimwi.

nimetoa mfano tu, kumradhi first lady wa JF
 
...............................
HIVYO SUALA LA MWANAMKE MIMI KUNIAMBIA ETI LEO ANATAKA KUFANYA TENDO LA NDOA KWA SAUTI YAKE NITAMSHANGAA SANA. ANACHOTAKIWA NI KUONYEDSHA DALILI TU. MFANO KULE TANGA, MWANAMKE AKIVAA KANGA MOJA BABA UNAJUA LEO MAMA ANATAKA KULA CHAKULA CHA WAWILI "TULE NA BWANA" SIYO MCHELE ULE WA SHAMBANI HAPANA HUO NI MCHELE MWEINGINE. KWA HERINI

unapaswa kubadilika mkuu. kwa nini asiweze kukuambia naye anao utashi na hisia? kwa utamafuni wetu ana namna ya kufanya mawasiliano bila kusema kwa mdomo kama huyo wa tanga uliyemtolea mfano.

wengine nasikia hukaa "vibaya" yaani wanaweza kuiachia kidogo nguo iliyomsitiri kukuonyesha sehemu zake zinazovuta wamaume marijali kama mapaja, ama hata kukuonyesha nguo za ndani kama chupi nk. inaaminika kuwa hata mtimndo wa "mpasuo" ulibuniwa kwa sababu hizi!

yote haya anafanya makusudi ili kufanya mawasiliano ya aina hiyo, yote hayo ni utamaduni tu. akiamua kutumia sauti anaweza na hajakosea kitu, aheshimiwe, apendwe zaidi na apewe haki yake.
 
nakubaliana nawe mkuu, baada ya obligation kuondoka , wameanza kuishi kama wapenzi japo taratibu bila wao kujua. sikumoja mama alinidokeza kuwa siku hizi baba nae taratibu na kwa uangalifu ameanza kuomba mara mojamoja! penzi limeanza upya na nyumba ndogo karibu inakufa sasa. kubwa zaidi tangu wameanza maisha yao haya mapya sijawahi kuwasuluhisha ugomvi wowote tofauti na kabla ya talaka ambapo kila siku hata usiku wa manane unagongewa, ugomvi tena!
Kiufupi mama kajirekebisha na hapo ndoa yake itapona,wanawake wengi hudhani tendo la ndoa lazima liombwe na mmewe na kamwe yeye hawezi omba hata mkae miezi mingapi,hii inaleta ugomvi mkubwa,maana mwenzio anavumilia akidhani labda ikipita week moja utakuwa tayari,kumbe siku anayoomba ndo wewe hauko vizuri na kusababisha ugomvi,mi nadhani wamama wakigundua siri ya kuwa wao waanzishe mchezo hakuna mwanaume wa kugoma na hii inalinda ndoa.
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom