Mama kuanza kumwomba baba tendo la ndoa, mnaonaje?

Mbunge wa CCM

JF-Expert Member
Nov 13, 2009
475
22
katika mchango wangu leo kwenye thread moja nilitoa kisa hiki cha kweli kama mfano wa kile nilichochangia. kutokana na utata wake nimeona niweke hapa kama thread inayojitegemea ili great thinkers wa JF wapate fursa ya kuijadili kwa kina kwani inatugusa sote na hususani ndoa zetu tunazozienzi daima.

kisa chenyewe ni hiki:

kuna jamaa yangu mmoja mkewe alikuwa jeuri sana hadi akampiga talaka. kwa sababu ya mtoto, jama hakumwondoa nyumbani mara moja bali alimtegea aondoke mwenyewe kwa hiyari yake na wakati wote alimpa mtaumizi kamili bila kukosa. haukupita muda yule bwana alimhurumia kwa kumwona hana raha, akamhakikishia kuwa kama hataondoka kwa hiyari yake, kamwe yeye hatamfukuzza na kumtaka aondoe mawazo, waheshimiane na kulea mtoto wao mpendwa. mama akaanza kupata amani moyoni, mume akajiona hana tena uhalali na wife kwani alishamkana. akapata nyumba ndogo, na wife akabaki kulea mtoto tu. yalipomshinda wife aliomba na anaendelea kuomba kila anapotaka na sasa ni mwaka wa pili na majuzi wamebarikiwa mtoto mwingine! wanmpenda na kumlea kwa furaha.

wasipokuambia habari yao, kamwe huwezi kujua kuwa wana talaka mikononi mwaao.

kuna wengine alifikiri ni hadithi na wengine wakasema inafafanana na filamu moja ya kihindi, lakini ni kisa cha kweli na mimi niliyekileta si tu nilichangia na kushiriki kwa hali na mali katika harusi yao bali pia nimekuwa mshauri wao mkubwa katika maisha yao ya ndoa ndio maana ni mmoja wa watu wachache sana wanojua habari hii hapa duniani.

kweli ndoa zina mambo. leteni maoni yenu tuwasaidie wenzetu na tujimulike nasi wenyewe tuko salama kiasi gani.

Mungu zibarki ndoa zetu.
 
Kama ninavyosema kila siku, ubovu wa ndoa ni ile obligation inayoletwa, kama unavyoona hapo walivyoodoa obligation ya ndoa kwa talaka wanaendela kuishi vizuri.

Si ajabu hata hiyo nyumba ndogo ikafa, wakaendelea vizuri.
 
........Ndoa nyingi za zamani nasikia zilikuwa zinakufa kama hivi, watu walikuwa wanaachana ila wanaendelea kuishi kwa ajili ya kuhofia malezi ya mtoto na heshima ya ndoa, lakini ndoa ilishakufa zamani.
Hii yote ilikuwa inasababishwa kwa sababu mwanamke alikuwa anategemea pato kutoka kwa mwanaume.

..........Ndoa za siku hizi imekuwa tofauti, wanandoa wakiona ndoa haifanyi kazi kila mtu kivyake, hata kama ndoa ni ya kanisa au ya wapi. Hata kama ndoa ina week, mwezi, miezi au mwaka, mwanamke ana kipato chake hivyo hataki karaha na kuamua kuishi kivyake na kulea mtoto/watoto.
 
Haya ni matokeo ya kuendesha taasisi bila katiba, binafsi naamini kama ndoa ingekuwa wanandoa kabla ya kuamua kuishi pamoja waamue kuwa na rejea fulani ili pakitokea tatizo liwe ni suala la kukumbushana makubaliano ya msingi wa unganiko hilo (Ndoa).

Kukosekana kwa katiba katika hili kukitokea tofauti yeyote katika hili kila mmoja hujichukulia maamuzi anayoona ni sahihi kwake, hapo ndipo chombo huenda mrama.
 
Kama ninavyosema kila siku, ubovu wa ndoa ni ile obligation inayoletwa, kama unavyoona hapo walivyoodoa obligation ya ndoa kwa talaka wanaendela kuishi vizuri.

Si ajabu hata hiyo nyumba ndogo ikafa, wakaendelea vizuri.

nakubaliana nawe mkuu, baada ya obligation kuondoka , wameanza kuishi kama wapenzi japo taratibu bila wao kujua. sikumoja mama alinidokeza kuwa siku hizi baba nae taratibu na kwa uangalifu ameanza kuomba mara mojamoja! penzi limeanza upya na nyumba ndogo karibu inakufa sasa. kubwa zaidi tangu wameanza maisha yao haya mapya sijawahi kuwasuluhisha ugomvi wowote tofauti na kabla ya talaka ambapo kila siku hata usiku wa manane unagongewa, ugomvi tena!
 
........Ndoa nyingi za zamani nasikia zilikuwa zinakufa kama hivi, watu walikuwa wanaachana ila wanaendelea kuishi kwa ajili ya kuhofia malezi ya mtoto na heshima ya ndoa, lakini ndoa ilishakufa zamani.
Hii yote ilikuwa inasababishwa kwa sababu mwanamke alikuwa anategemea pato kutoka kwa mwanaume.

..........Ndoa za siku hizi imekuwa tofauti, wanandoa wakiona ndoa haifanyi kazi kila mtu kivyake, hata kama ndoa ni ya kanisa au ya wapi. Hata kama ndoa ina week, mwezi, miezi au mwaka, mwanamke ana kipato chake hivyo hataki karaha na kuamua kuishi kivyake na kulea mtoto/watoto.


kwa kifupi wote wawili wana kazi, tena kazi ya mama stable zaidi! wote wamesoma vizuri wana elimu ya juu!

nadhani tatizo la ndoa za siku hizi ni maadili zaidi, na sioni kama ni uchumi. mwanamke anajitahidi kuondoka kwenye nafasi yake anasogelea nafasi ya mwanamme, matokeo yake anaonekana jeuri na anapoteza mvuto kwa mwanamme. anapoanza unyenyekevu kwa mumewe, mapenzi nayo yanarudi taratibu. kumbuka kwenye tread ya msingi nilisema mahali, mwanamme alipomwona mkewe anakuwa mnyonge alimhurumia akamhakikishia kuwa hana mpango wa kumfukuza ndipo mwanmke alipopata amani.

kuna haja ya mwanamke ku-revisit nafasi yake ndani ya ndoa, wanaume naona wako tayari kuendelea kuwapenda wake zza ama watahesimu nafasi zao
 
kuna jamaa yangu mmoja mkewe alikuwa jeuri sana hadi akampiga talaka. kwa sababu ya mtoto, jama hakumwondoa nyumbani mara moja bali alimtegea aondoke mwenyewe kwa hiyari yake na wakati wote alimpa mtaumizi kamili bila kukosa. haukupita muda yule bwana alimhurumia kwa kumwona hana raha, akamhakikishia kuwa kama hataondoka kwa hiyari yake, kamwe yeye hatamfukuzza na kumtaka aondoe mawazo, waheshimiane na kulea mtoto wao mpendwa. mama akaanza kupata amani moyoni, mume akajiona hana tena uhalali na wife kwani alishamkana. akapata nyumba ndogo, na wife akabaki kulea mtoto tu. yalipomshinda wife aliomba na anaendelea kuomba kila anapotaka na sasa ni mwaka wa pili na majuzi wamebarikiwa mtoto mwingine! wanmpenda na kumlea kwa furaha.

Kwa hiyo tuseme walizini na kupata mtoto haramu? Maana alizaa na mwanamke ambaye sio mkewe ati!
 
Kwa hiyo tuseme walizini na kupata mtoto haramu? Maana alizaa na mwanamke ambaye sio mkewe ati!

sioni kama kuna uzinzi hapo, kilichowatenganisha ni sheria za nchi ambazo si mara zote hutenda haki, na mwenyezi Mungu kwa upande wake anafurahi kuona bado wako pamoja kwani anasema "anachukia kuachana"
 
katika mchango wangu leo kwenye thread moja nilitoa kisa hiki cha kweli kama mfano wa kile nilichochangia. kutokana na utata wake nimeona niweke hapa kama thread inayojitegemea ili great thinkers wa JF wapate fursa ya kuijadili kwa kina kwani inatugusa sote na hususani ndoa zetu tunazozienzi daima.

kisa chenyewe ni hiki:

kuna jamaa yangu mmoja mkewe alikuwa jeuri sana hadi akampiga talaka. kwa sababu ya mtoto, jama hakumwondoa nyumbani mara moja bali alimtegea aondoke mwenyewe kwa hiyari yake na wakati wote alimpa mtaumizi kamili bila kukosa. haukupita muda yule bwana alimhurumia kwa kumwona hana raha, akamhakikishia kuwa kama hataondoka kwa hiyari yake, kamwe yeye hatamfukuzza na kumtaka aondoe mawazo, waheshimiane na kulea mtoto wao mpendwa. mama akaanza kupata amani moyoni, mume akajiona hana tena uhalali na wife kwani alishamkana. akapata nyumba ndogo, na wife akabaki kulea mtoto tu. yalipomshinda wife aliomba na anaendelea kuomba kila anapotaka na sasa ni mwaka wa pili na majuzi wamebarikiwa mtoto mwingine! wanmpenda na kumlea kwa furaha.

wasipokuambia habari yao, kamwe huwezi kujua kuwa wana talaka mikononi mwaao.

kuna wengine alifikiri ni hadithi na wengine wakasema inafafanana na filamu moja ya kihindi, lakini ni kisa cha kweli na mimi niliyekileta si tu nilichangia na kushiriki kwa hali na mali katika harusi yao bali pia nimekuwa mshauri wao mkubwa katika maisha yao ya ndoa ndio maana ni mmoja wa watu wachache sana wanojua habari hii hapa duniani.

kweli ndoa zina mambo. leteni maoni yenu tuwasaidie wenzetu na tujimulike nasi wenyewe tuko salama kiasi gani.

Mungu zibarki ndoa zetu.

wangapi wanaweza haya maisha?
 
katika mchango wangu leo kwenye thread moja nilitoa kisa hiki cha kweli kama mfano wa kile nilichochangia. kutokana na utata wake nimeona niweke hapa kama thread inayojitegemea ili great thinkers wa JF wapate fursa ya kuijadili kwa kina kwani inatugusa sote na hususani ndoa zetu tunazozienzi daima.

kisa chenyewe ni hiki:

kuna jamaa yangu mmoja mkewe alikuwa jeuri sana hadi akampiga talaka. kwa sababu ya mtoto, jama hakumwondoa nyumbani mara moja bali alimtegea aondoke mwenyewe kwa hiyari yake na wakati wote alimpa mtaumizi kamili bila kukosa. haukupita muda yule bwana alimhurumia kwa kumwona hana raha, akamhakikishia kuwa kama hataondoka kwa hiyari yake, kamwe yeye hatamfukuzza na kumtaka aondoe mawazo, waheshimiane na kulea mtoto wao mpendwa. mama akaanza kupata amani moyoni, mume akajiona hana tena uhalali na wife kwani alishamkana. akapata nyumba ndogo, na wife akabaki kulea mtoto tu. yalipomshinda wife aliomba na anaendelea kuomba kila anapotaka na sasa ni mwaka wa pili na majuzi wamebarikiwa mtoto mwingine! wanmpenda na kumlea kwa furaha.

wasipokuambia habari yao, kamwe huwezi kujua kuwa wana talaka mikononi mwaao.

kuna wengine alifikiri ni hadithi na wengine wakasema inafafanana na filamu moja ya kihindi, lakini ni kisa cha kweli na mimi niliyekileta si tu nilichangia na kushiriki kwa hali na mali katika harusi yao bali pia nimekuwa mshauri wao mkubwa katika maisha yao ya ndoa ndio maana ni mmoja wa watu wachache sana wanojua habari hii hapa duniani.

kweli ndoa zina mambo. leteni maoni yenu tuwasaidie wenzetu na tujimulike nasi wenyewe tuko salama kiasi gani.

Mungu zibarki ndoa zetu.
he hata wewe mshauri wao una shughuli ya ziada
 
he hata wewe mshauri wao una shughuli ya ziada

ni kweli mwanzoni nilipata usumbufu sana, sasa nashukuru kwa ushauri wangu nimemudu kuwashauri kuepuka kutengana na sasa wanarudisha mapenzi taratibu licha ya talaka waliyonayo.

kama washwahili wasemavyo kabla hujafa hujaumbika, naamini hii ni moja ya ndoa stable zaidi hapa duniani kwa sasa kwani waliishakufa na sasa wanaumbika upya.
 
du!
unajua ndani ya ndoa nyingi hakun amani japo mtu wa nje unaweza kuona kuan amani,
nimewahi kushuhidia mtu na mkewe wanawasiliana kwa simu wakati wako nyumbani, nilishangaa sana, jamaa alipomuaga mkewe mida ya jion kuwa anatoka kidogo kwa sms. yule mama alinieleza kisa kizima. hata salamu asubuhi ni hivyo hinyo kwa sms japo wamelala kitanda kimoja. wanaenda kazini pamoja kwa gari moja lakini hawaongei kabisa.
 
du!
unajua ndani ya ndoa nyingi hakun amani japo mtu wa nje unaweza kuona kuan amani,
nimewahi kushuhidia mtu na mkewe wanawasiliana kwa simu wakati wako nyumbani, nilishangaa sana, jamaa alipomuaga mkewe mida ya jion kuwa anatoka kidogo kwa sms. yule mama alinieleza kisa kizima. hata salamu asubuhi ni hivyo hinyo kwa sms japo wamelala kitanda kimoja. wanaenda kazini pamoja kwa gari moja lakini hawaongei kabisa.

khabbar njema sana hii kwa makampuni ya simu.
 
ni kweli mwanzoni nilipata usumbufu sana, sasa nashukuru kwa ushauri wangu nimemudu kuwashauri kuepuka kutengana na sasa wanarudisha mapenzi taratibu licha ya talaka waliyonayo.
hapa bado wanchanganya kidogo, kama wamerudiana hiyo talaka si waifute/waichane/wa-undo au bado hawana uhakika??
 
hapa bado wanchanganya kidogo, kama wamerudiana hiyo talaka si waifute/waichane/wa-undo au bado hawana uhakika??

GP hata mie napata utata, kama wataendelea kuishi hivo na mtafaruku ukaja kutokea sijui nani atasimama wapi

wangapi wanafahamu wazazi wawili hao walitalikiana? (Mirathi inaweza kusumbua mmoja akifariki)

je talaka bado itakuwa valid?

kwa muda huu wafunge ndoa upya?(maana ndoa hamna hapo)

ngoja tusubiri kupata precedent itumike kwenye sheria ya ndoa tz

All in all sioni tatizo mama kulianzisha kwani kuna ubaya gani?? After all its my conjugal right.....
 
du!
unajua ndani ya ndoa nyingi hakun amani japo mtu wa nje unaweza kuona kuan amani,
nimewahi kushuhidia mtu na mkewe wanawasiliana kwa simu wakati wako nyumbani, nilishangaa sana, jamaa alipomuaga mkewe mida ya jion kuwa anatoka kidogo kwa sms. yule mama alinieleza kisa kizima. hata salamu asubuhi ni hivyo hinyo kwa sms japo wamelala kitanda kimoja. wanaenda kazini pamoja kwa gari moja lakini hawaongei kabisa.

sasa hawa nao wanadanganya nani kama si wao wenyewe.....
 
du!
unajua ndani ya ndoa nyingi hakun amani japo mtu wa nje unaweza kuona kuan amani,
nimewahi kushuhidia mtu na mkewe wanawasiliana kwa simu wakati wako nyumbani, nilishangaa sana, jamaa alipomuaga mkewe mida ya jion kuwa anatoka kidogo kwa sms. yule mama alinieleza kisa kizima. hata salamu asubuhi ni hivyo hinyo kwa sms japo wamelala kitanda kimoja. wanaenda kazini pamoja kwa gari moja lakini hawaongei kabisa.


hivi kama hawa wanaweza japo kutumiana sms hata ya kuagana kaam anatoka nadhani wana uwezo mkubwa wa kuirudisha amani kwenye ndoa yao....ndoa hizi jamani...lo
 
Kwa hiyo tuseme walizini na kupata mtoto haramu? Maana alizaa na mwanamke ambaye sio mkewe ati!

Hakuna uzinzi hapo. Hao watu hawajaachana hata kidogo. Wamepeana mapumziko ili kuona kama bado wanapendana (if they still feel each other). Na sasa unaweza kuona ni jinsi gani wanafanya uvumbuzi kwamba wanapendana sana. Kwani kama hawapendani hawangeweza kuishi nyumba moja na kushiri meza ya bwana. Lile tendo kwa watu waliooana ni very special na ukizingatia jamaa tayari ulikuwa na nyumba ndogo. Kama hawa watu hawangekuwa wanapendana, hata mama angetafuta Serengeti Boy na kuanzisha league.

Tatizo kubwa tulilonalo kwenye ndoa zetu ni kushindwa kugundua (mapema) kwamba tunapendana sana hadi mmoja wapo anapokuwa hayuko reachable! Nadhani dawa yake ni kuongea mara kwa mara kuhusu mahusiano yetu na nini kila mmoja angependa au asingependa kufanyiwa!
 
hivi kama hawa wanaweza japo kutumiana sms hata ya kuagana kaam anatoka nadhani wana uwezo mkubwa wa kuirudisha amani kwenye ndoa yao....ndoa hizi jamani...lo


Wanafanya mambo ya kitoto tu. They are just kidding!
 
Back
Top Bottom