Kaa la Moto
JF-Expert Member
- Apr 24, 2008
- 7,903
- 1,053
Mimi naona asitoke ccm bali abaki huko huko akiwasha moto labda kama ccm wenyewe wataamua kumfukuza baada ya kuona amekuwa moto mkali zaidi.
Mama Anna kilango na wengine kama wakina Kimaro waendelee kubaki huko huko wakiwasha moto. si unajua akina Kimaro walikuwa NCCR mageuzi? naona bado hali ya siasa za huku upinzani bado ccm hawakuzisafisha kuzimaliza. Ila niliota ndoto kwamba wamezaliwa wapinzani wengi sana wa uovu ndani ya ccm yenyewe. Sijui ilikuwa ya kweli au ilikuwa ya uchovu wa kazi nyingi nilizokuwa nazo siku hiyo.
Mama Anna kilango na wengine kama wakina Kimaro waendelee kubaki huko huko wakiwasha moto. si unajua akina Kimaro walikuwa NCCR mageuzi? naona bado hali ya siasa za huku upinzani bado ccm hawakuzisafisha kuzimaliza. Ila niliota ndoto kwamba wamezaliwa wapinzani wengi sana wa uovu ndani ya ccm yenyewe. Sijui ilikuwa ya kweli au ilikuwa ya uchovu wa kazi nyingi nilizokuwa nazo siku hiyo.