Pascal Mayalla
Platinum Member
- Sep 22, 2008
- 50,467
- 113,567
- Hakuna kiongozi yoyote Tanzania anayemiliki jimbo, kata, au tarafa licha ya mkoa ni haki ya kila mwananchi kushirki katika siasa za taifa hili na mahali popote pale, sio a crime againts Jamhuri,
<font size="4">- However, hapa Mama Kilango anachemsha tena sana, - Pamoja na kwamba ni haki ya kila mwananchi kugombea popote pale katika taifa letu kwa sababu sio a crime, tunasema kwamba hapa mama anachemsha na hata CCM wanajua sana kwamba hilo jimbo politically ni la Ndesamburo, wala hakuna ubishi.
- Na Ndesamburo ni lazima achaguliwe hapo kwenye hili jimbo kwa sababu anatufaa kwa masilahi ya taifa, mambo mengine hayahitaji hata kufikiri mara mbili au hata kuwa careful kuyasema ni one, two, three Ndesamburo ni lazima achaguliwe hapo.
Respect.
FMEs!
Mkuu FMES,Mimi binafsi nimeukubali msimamo wako pale tunapoweka maslahi ya taifa mbele,undugu, ufamilia, ubinafsi vyote tunaacha nyuma, tunatanguliza taifa mbele.Ushauri, FMES, take advantage ya proximity, umshauri mama, haukuna ubishi, yuko juu, mpe ushauri, asijione amesimama, aangalie asianguke.Mshauri amaintain msimamo wake, asianze kuharibu.Kwa gia unazoondoka nazo sasa, lazima mwenye masikio atasikia.Asante.