Vodka
JF-Expert Member
- Jan 5, 2012
- 906
- 96
Mtoto mmoja kila akiulizwa jina lake alikuwa ana tabia ya kujibu, 'Mimi ni mtoto wa Mzee John'. Mama yake akamwambia,' Usiwe unasema hivyo, ukiulizwa sema naitwa Jane John'. bahati mbaya sana mtoto akakutana na mtu ambaye alimuuliza, ' Wewe siyo mtoto wa John?'. Mtoto akajibu,'Zamaninilikuwa nafikiri hivyo sasa mama kanikataza'...