Mama Kahaba!!!!!

Hebu tuliza akili zako halafu ujipange kwenda mbele. Ukifanya mchezo utapoteza mwelekeo mzima wa maisha yako. Hiyo ndiyo historia yako. Hakuna kitu unachoweza kubadilisha. Na tayarii umekosea step kumvaa mama kwa kitu ambacho ni kizito kama hicho. Nakushauri uanze maisha upya kwa kujikubali (kwamba kweli wewe ni mtoto wa huyo mama, hata kama maisha yake huyapendi na yanakuumiza) na kuonesha upendo wa hali ya juu kwa mama. Mpende kama alivyo na unaweza kushangaa. Naamini utaweza kutuandikia kitabu siku moja.

Ubarikiwe sana.

Utu uzima Dawa; DC
 
Akizeeka ataacha tu,mpende mama yako,kama huwezi kumwambia kwa mdomo,muandikie barue na umuelezee jinsi gani unavyoumia kwa hilo jambo.Trust me yamenikuta kwa mama yangu,yeye hakuwa kahaba lakini aliyoyafanya sikuyapenda na hata siku moja sikuwa na uwezo wa kumwambia,lakini kwa sasa ni mtu mzima na amekuwa mtu wa dini hasa.Hayo mambo hayafanyi tena,na kilichomfanyisha awe hivyo baba yetu hakumjali hata kidogo,alitulea as a single mum{ingawa pia sio excuse kwa aliyoyafanya]ila ni mama ambae nampenda sana tu.kwani mama ni mama,na alitulea kwa tabu
 
Pole sana!! usimdharau hata kidogo muumbee sana na endelea kuwa karibu naye, nenda naye taratibu Mungu atamponya. unajua haya mambo ni mazoea slowly will learn kuacha.
 
Hujasema baada ya kumaliza chuo kama una kazi au bado unamtegemea mama yako financially. I am thinking pengine ukimsaidia kipesa kukidhi mahitaji yake, hii inaweza kumshawishi kuachana na hii 'kazi' .
 
Get a life man, mshukuru Kwa kufikisha hapo ulipo.....mwache na maisha yake, Kama hataki chapa lapa iwe unam-treat Kama mama Kwa mbalikama vipi...mbona umekaa nae miaka yote? Au tujiela unavyopata sasa ndo unaona maza hayupo sahihi?

Soma vizuri mkuu, nimesema baada ya kukua na kujua maisha yanatafutwa vipi ndipo nilipogundua haya.
 
Carry on with your life.....digging up the past wont help you........kama mama anakukwaza sana kaa nae mbali kidogo kulinda heshima...usifuatiulie maisha yake....pole lakini na ujue hauko pekeyako duniani kwa tatizo hilo
 
pole ma dear broo
cz haukujua y kadondokea kwenye tabia iyo............km uli opt sociology wanakwambia hakuna tabia bila kisababish..so kuna reason behind for her to .....into such behavior.usimjaj......m sure ata ye pia haipend iyo tabia sema tu ashaanza ndo inakuwa ngumu kuacha .........bt in jesus name ATAACHA.
-usimtenge wala usimchukie zidisha upendo zidisha sala atabadirika
-
 
Pole kwa hilo kwani najua pindi umwambiapo lazima akusimange kuwa hiikazi yangu ndiyo iliyokulea hadi hapa ulipofika!lamsingi nikwamba kama unakazi nzuri tafuta maisha yako huwe karibu na maisha ya kidini zaidi kwa hata kukusogelea atakuwa anakuogopa au uhame maeneo yakaribu napale!na jua makahaba hawana soni hivyo lazima ujisikie haibu kwa hilo!Na ukae ukijua mtoto achagui mzazi liti angekuwa anachagua mzazi nikweli wazazi wengi wangekuwa hawana watoto.!!
 
Hujasema baada ya kumaliza chuo kama una kazi au bado unamtegemea mama yako financially. I am thinking pengine ukimsaidia kipesa kukidhi mahitaji yake, hii inaweza kumshawishi kuachana na hii 'kazi' .

Nina kazi tena kwa maisha haya nathubutu kusema ni kazi nzuri thus why nilituma mtu akmshauri aache hiyo kazi coz uwezo wa kumpa chochote ninao na akaishi kwa amani kabisa. Ila ndiyo hivyo kagoma!!!
 
Nina kazi tena kwa maisha haya nathubutu kusema ni kazi nzuri thus why nilituma mtu akmshauri aache hiyo kazi coz uwezo wa kumpa chochote ninao na akaishi kwa amani kabisa. Ila ndiyo hivyo kagoma!!!

Then let her be...she has always been like that maybe even way back before you came into this earth. Treat her as you have always been doing.Tena mpende zaidi na umuheshimu zaidi. kama vipi kamwambie mwenyewe halafu umwache atafakari what to do. but dont you dare leave her because of what she does. that will be the biggest mistake you will ever make.
 
Mimi ni kijana(mwanaume) na ni mtoto pekee kwa huyu mama.
Ni mama yangu mzazi na kanilea yeye mwenyewe bila baba, na nikimuuliza baba yangu ni nani hanijibu zaidi tunagombana tu!!!
Kanisomesha vizuri sana bila tabu yoyote wala msaada tena kwenye shule expensive sana though sikuwa najua kazi yake (huko utotoni).
Nimemaliza chuo wandugu!! Nimegundua kuwa kazi ya mama yangu kumbe ni UKAHABA na ndiyo kazi iliyonilea, kunivisha, kunisomesha na hata vijigari vya kupigia misele na pia kajenga nyumba nzuuri tunayoishi.
Sasa nina kazi nzuri tuu, na nilipogundua kuwa kazi ya mama ni ukahaba, niliongea na mtu mzima akaongee nae ili aachane na ukahaba ilishindikana, zaidi ya yote alimtukana sana na mie pia nikapata na matusi yangu kiasi.
Pia nikagundua kwanini haelewani na ndugu zake kama dada, kaka, wazazi wake na ndugu wengineo ni sababu ya kazi hiyo na hajali kuhusiana na hilo.
Nishaurini ndugu zangu nifanye nini, kwani kiukweli naona fedheha sana hata raha ya maisha haipo tena kwangu.

Am speechless here!

Pole sana. Mshukuru Mungu kwa kukufikisha hapo ulipo. Usisahaku kumtii na kumheshimu mama yako, kama maagizo ya Mungu yanavyotutaka. Kisha muombee kwa Mungu. Mungu wetu ni wa ajabu, utashangaa atakavobadilika. Kuwa na Imani. Sema AMINA!
 
Pole sana mwana JF, kaza uzi kwenye maombi (kama una imani lakini!) ila mama achomoke huko.
 
Hama mji,huwezi kumbadilisha mzazi. Kama huwezi funga domo,fumba macho.

Idiot

Am speechless here!

Pole sana. Mshukuru Mungu kwa kukufikisha hapo ulipo. Usisahaku kumtii na kumheshimu mama yako, kama maagizo ya Mungu yanavyotutaka. Kisha muombee kwa Mungu. Mungu wetu ni wa ajabu, utashangaa atakavobadilika. Kuwa na Imani. Sema AMINA!

Well said bro. kakague
 
A mother is a woman who has conceived, given birth to, or raised a child in the role of a parent. Because of the complexity and differences of a mothers' social, cultural, and religious definitions and roles, it is challenging to define a mother to suit a universally accepted definition.

Nearly all world religions define tasks or roles for mothers through either religious law or through the deification or glorification of mothers who served in substantial religious events. There are many examples of religious law relating to mothers and women.

Major world religions which have specific religious law or scriptural canon regarding mothers include: Christians,Jews and Muslims.Some examples of glorification or deification include the Madonna or Blessed Virgin Mother Mary for Christians, the Hindu Mother Goddess, or Demeter of ancient Greek pre-Christian belief.

In Islam, hadith dictates the mother as occupying an importance and position three times superior to that of the father.However, while the mother is considered the most important member of the family, she is not the head of the family.
 
pole sana. nashindwa hata kuongea nianzie wapi. mwambie akuonyeshe baba yako, hata kama alikuwa wa kupitiwa tu mwambie akuonyeshe, mara nyingi hao watu wanachaguaga watu wazuri tu na wanaofahamika kuzaa nao. ni ngumu sana kwako. hawezi kuacha kwasababu ndani yake kuna roho chafu. pamoja na ukahaba wake wote, mwambie kuwa Mungu anampenda kama alivyo, na atampokea kama alivyo na kumsamehe dhambi zake zote. usimwache, mwombee, mkaribishe kwenye makanisa ya kuokoka, pia jaribu kuongea na wachungaji wa kilokole ili uwashirikishe kwenye maombi, nakwambia anaweza kubadilika akawa kama mchungaji huyo. Mungu akusaidie.
 
Muheshimu mama yako, na unatakiwa umuonyeshe mapenzi ya dhati, hicho ni kilema chake... Mapenzi na kujali kwako kutaweza kumbadilisha tabia... may be she felt rejected... kwa hiyo akaamua kuishi atakavyo... Your love can change that!!
 
Pole kijana inauma lakini kila binadamu amekuja duniani kwa sababu, na kila binadamu kitakachomsaidia katika maisha ya akhera ni amari zake alizozifanya azitakusaidia za ndugu wala mzazi wako akhera, mchukulie mama yako kama alivyo na mpende sana na muheshimu atajirudi mwenyewe.
Usiendelee kuianika tabia ya mama yako hadharani.
 
Yeye amdharauye mama yake au baba yake anastahili kufa, lkn jambo hili ni gumu sn, ndg yangu jipe moyo mkuu, vumilia sn, mpende sn mama kwani kwa namna hiyo akakupa elimu nzuri, basi ujue labda kunasababu ya yeye kuwa ktk hali hiyo, sidhani kama anaipenda au anapenda kukosana na jamii yake bali hutokea akashindwa kujituliza, lkn jua kuwa sisi ni watu, tu katika mwili wanyama hatuwezi kwa lolote, kwani ubaya wowote mwanzo wake ni shetani anayewafundisha watu kauukataa ukweli na kuchagua uongo, basi kumbuka hili ''Nayaweza yote katika yeye anitiae nguvu'' mwombee mama, lia mbele za \mugnu pia mshukuru sn Mungu kwani amemlinda mama na janga hili la ukimwi angaliangamia wakati bado unasoma ungefikia wapi? basi mwambie mama YOUR A HIRO MAMA FOR WONDERFUL CARE UPON ME AND OTHERS IN YOUR FAMILY, amejitahidi kutunza nafsi yake na yako usiwe tegemezi kwa wajomba au ndugu wengine, mpende sn mama kwani yeye ni mwakilishi wa Mungu kwa ajiliyako, kwa tabia hiyo wengi wametupwa majalalani lkn wewe amekutunza be Thankful to her n' to God mostly. Yeye atahukumiwa kwa makosa yake lkn mpende sn labda ni kwa sababu yako ili usome akajikuta mekosea nja please let not any take you from your lovely mom but let her know that you feel gilty kwa kumwambia mtu mwingine amuonye mama ila be close and say ORRY MUM FOR ANY MISTAKE I DID YOU MY HIRO YOU MADE MY LIFE BETTER BE BLESSED BY MY GOD.
 
Kama maelezo yako ni kweli pole sana maana ulionao ni mzigo mzito, mimi nilivyokuelewa mama yako kutokana na hiyo Business yake imepelekea aelewani na ndugu zake. Kwa maana nyingine wewe ndie ndugu wa karibu na faraja kubwa kwake maana umesema wewe ni mtoto wa pekee. Chakufanya mpotezee kabisa mama yako yaani hama home halafu kata mawasiliano kabisa. nijuavyo wamama hawana ujanja kwa watoto wao wa kiume. tena wewe ni mtoto wa pekee hapo kwako hapindui. Ukimtosa mwenyewe ataanza kuhaha kwa kukutafuta sasa akikupata ili kuweka mambo sawa yaani wewe urudi home na kuwa na ukaribu kama zamani sasa hapo weka masharti yako ya kumkataza kufanya Business yake wakati wa maridhiano na kumuwekea masharti usiwe na huruma wala kumbembeleza, yaani kama hataki No maridhiano pia unamsomea FATWAA kabisa umwambie kuwa hata mahusiano ya mama na mtoto umeyavunja. Yaani ukimkuta katika Business yake utojali na wewe utamsomesha ili muelewane bei na akikubali unamaliza mchezo kama ukiwa na kahaba yeyote. Nasisitiza mwambie unahuhsiano nae akuone kama mteja wake na wewe ukimkuta sokoni utamnunua kama wanavyonunuliwa malaya wengine utojali ni mama yako maana umeshauvunja uhusiano wa mama na mtoto . Nakwambia akisikia viapo vyako na pia huko tayari kumnunua lazima atanyoosha mikono juu na ushindi utakuwa kwako. CHA MSINGI UWE NA ROHO YA SUBIRA NA WAKATI WOTE MUOMBE MUNGU hakika utashinda.
 
"YEYE AMDHARAUYE MAMA YAKE AU BABA YAKE ANASTAILI KUFA" naomba tuwetunafanya nukuu ya maandiko matakatifu sehemu sahihi, NANI ALIKUAMBIA KUMDHARAU MAMA KAHABA ADHABU YAKE KIFO? nieleze ni mafundisho ya dini gani au kabila gani? KAHABA anastahili kupigwa mawe hadi kufa (ISLAM na JEWS) hata wa kristo wanaruhusiwa kumpopoa mawe KAHABA ilimradi atakayempopoa awe na uhakika hana dhambi hata moja. Cha msingi sisi wote ni wadhambi hapa tumshauri mwenzetu jinsi ya kupambana na hali hii na si kunukuu mistari mitakatifu ili kuonyesha kuwa hata MUNGU anawakubali MAKAHABA. Muhimu ni kubainisha huyo ni mamaye ampende na yote aliyoyafanya na anayoyafanya mamayake inawezekana ni kwa ajili yake, na kutokana na kuyafanya muda mrefu kayazoea anaona ni kawaida, hivyo kijana apigane kumsaidia mamayake ili amnusuru na JEHANAM ya moto na pia amsaidie mamayake kumjengea heshima ktk muda uliosalia wa maisha yake duniani. Nayote hayo kwa kumsaidia mamayake kuacha ukahaba kwa nguvu zake zote na kwa msaada wa MUGU
 
Back
Top Bottom