Mama huyu anatumalizia watoto wetu!

Kiongozi hili suala sijui kama limeshatungiwa sheria, nilisikia kuna plan kama hiyo ila sijui maendeleo yake. Kama bado halijatungiwa sheria ndio hivyo tena vijana inabidi waanze mapema ARV, hakuna la zaidi.


Mkuu, swala la kuanza dawa mapema ni gumu kwa sababu:
1. Kinga ya mwili huwa na uwezo wa kujikimu mpaka pale kinga itakapopungua CD4 sawa na au pungufu ya 350/mm3
2. Kuanza dawa mapema kunahusika na madhara mengi zaidi ya dawa
3.Pamoja na kwamba dawa zinatolewa bure Tanzania, haina maana kuwa ni bure haswa, kuna wafadhili na serikali wanaoingia gharama

Na sababu zingine ambazo ni za kisayansi-tiba zaidi, haifai kuwekwa jukwaa hili

Ila kupima mapema ni bora ili pia kinga hii niliyozungumzia iweze kufuatiliwa (follow up) kama inavyostahili ili inapofikia kiwango stahili basi dawa zianzishwe
 
Najua kwamba nchi hii hakuna sheria inayowabana wenye virusi vya UKIMWI kutokuusambaza kwa wengine.

Hivi karibuni mitaa ya kwetu kuna mama mmoja mwenye virusi vya UKIMWI kwa muda wa miaka kama sita hivi. Anachofanya ni kuhakikisha kuwa mtaa mzima umekumbwa na ugonjwa huo.

Kwa akina baba sina hakika idadi iliyokwisha kutumbukia kwake, Lakini linaloniogofya saana hata kufikia hatua ya kuandika humu JF ni kwamba sasa anarubuni vitoto vidogo vya shule na kufanya navyo ngono tena kwa kuvihonga hela!

Hivi majuzi jirani yangu alipata nyepesi nyepesi kuwa mtoto wake wa kidato cha pili anatembea na huyo mama.

Alimshika na kumtwanga mtoto kikamilifu hadi akasema hadithi yooooote KUMBE MTAA KARIBU WOTE vijana wa umri wake wameshalambishwa libeneke la huyo mama. Kivumbi kuanza kutajana basi kila mzazi amerudi ndani asijue la kufanya, wapo walioenda kupima watoto wao sijapata taarifa wangapi wameathirika au la.

Sasa hali hii tuifanyeje? Uongozi Serikali za Mitaa una habari hata na mume wa huyo mama ana habari pia naye ni mwathirika.

kama sheria ya kiislamu ingefatiwa ingetatua matatizo haya.

katika sheria ya kiislamu, mtu alio olewa au owa akizini anahukumiwa kifo.

hii ni fundisho kwa jamii

karibuni katika forum yetu,


http://www.sekenke.com/bodi
 
Mkuu, kwa hili nashukuru umeweka mtaa, sasa nashauri, nikiwa kama mdau wa vita hii, tuandae pendekezo kwa uongozi wa mtaa, at the same time tumtege na tujipe wiki mbili tumalize kazi

dont be surprised if you find my PM

Tusikubali huyu shetani atuulie vitoto vyetu aisee

Mkuu shughulika sasa PM hiyo anzia hapo
 
Duu! anastahili kufa huyo!!!! Laana iambatane nae huyo mama na uponyoji uwe nao walioambukizwa bila kujijua.
 
mamaaaaaaa weeeee!
yuko wapi jamani, nipeni panga na mundu, yaani anawafanya hivi watotooooo
hiiiiiiiiiiihaaaaaaaaamhhhhmihiiiii
mshenzi sana huyu, sasa wanamtaa mnasemaje nimmalize au vip?
 
jamani hebu nendeni haraka kwenye vyombo vya usalama mtoe hii report ili waanza upelelezi juu ya hili na kama lina ukweli wachukue sheria fasta kabla kizazi hakijaendelea kuteketea
kuna watu wana roho za kinyama hapa duniani looh

kwa nini bongo hata jambo ambalo lipo wazi linatungia kamati ya upelelezi?
hata hili kuna upelelezi hapo?
 
Hii ni taarifa ya kusikitisha sana. Wanawake wakishaanza kuwa majangili basi jamii itateketea.Nijuavyo mimi, wanawake by their very nature ni walinzi wa watoto, ndio wanaoona yatendekayo kwenye jamii na kuyatafutia dawa.Kama kweli kuna mama kama huyu, basi mwenye kumjua kwa jina ani PM tu halafu wenyewe mtasikia kitakachompata.Nitawaletea majibu hapahapa.
 
Mkuu, swala la kuanza dawa mapema ni gumu kwa sababu:
1. Kinga ya mwili huwa na uwezo wa kujikimu mpaka pale kinga itakapopungua CD4 sawa na au pungufu ya 350/mm3
2. Kuanza dawa mapema kunahusika na madhara mengi zaidi ya dawa
3.Pamoja na kwamba dawa zinatolewa bure Tanzania, haina maana kuwa ni bure haswa, kuna wafadhili na serikali wanaoingia gharama

Na sababu zingine ambazo ni za kisayansi-tiba zaidi, haifai kuwekwa jukwaa hili

Ila kupima mapema ni bora ili pia kinga hii niliyozungumzia iweze kufuatiliwa (follow up) kama inavyostahili ili inapofikia kiwango stahili basi dawa zianzishwe

Kiongozi umeelezea kwa kirefu na kiufasaha. Vyema na shukran.

Ila niliposema vijana wakajiangalie mambo ya ARV it was a lumped phrase kumaanisha waanze mchakato mzima unaoambatana na hizo ARV kadr ya ushauri wa wataalam, sio ARV par se. Nadhani tupo pamoja kiongozi.
 
Hii ni taarifa ya kusikitisha sana. Wanawake wakishaanza kuwa majangili basi jamii itateketea.Nijuavyo mimi, wanawake by their very nature ni walinzi wa watoto, ndio wanaoona yatendekayo kwenye jamii na kuyatafutia dawa.Kama kweli kuna mama kama huyu, basi mwenye kumjua kwa jina ani PM tu halafu wenyewe mtasikia kitakachompata.Nitawaletea majibu hapahapa.


Nimeanza kufuatilia..ila contact ya simu niliyopewa ..kila nikipiga mwenye simu akipokea hazungumzi... sasa sijui namsaidiaje.Mwenye additional info pls.....im serious
 
Tupeni jina lake na mtaa anaoishi ili watoto wetu wapewe somo la kuchukua tahadhali na mama huyo fisadi wa maisha ya vijana wetu.
 
mama huyu anatakiwa kukaatwa na kupata hukumu kwa stahili yake kwa sababu ni muuwaji na anaenda kinyume na sera kuhusu maambukizi ya virusi vya ukimwa
 
?

Mkuu upo? Umejuaje? umetembea naye unajifariji nini?
Hapana mkuu sijala gubeli hilo.....kama ndio yule wa Mbezi mbona hana Ngoma bana......ni mshikaji tu anapenda kula story na mayanki kwa kifupi ana afya njema tu..sidhani bana hana ngoma..
 
Hapana mkuu sijala gubeli hilo.....kama ndio yule wa Mbezi mbona hana Ngoma bana......ni mshikaji tu anapenda kula story na mayanki kwa kifupi ana afya njema tu..sidhani bana hana ngoma..


Ha ha ha kwa nini anapenda watu wa chini ya umri wake wanamfundisha nini kwenye hizo story
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom