kimatire
JF-Expert Member
- Nov 27, 2008
- 371
- 93
....by the way wewe Kiroroma unazungumzia mtaa gani, maanake nasoma location yako umeandika uko Lady Brand RSA? Ni hapa Bongo au maana naona watu wameanza kujadili sheria zetu na kauli za Rais wetu. Isije kuwa uko ng'ambo
Ni vema ukasoma thread hii tangu mwanzo ujue wenzako wanasema nini kuliko kukurupuka tuu na njozi zako ambazo hazijakamilika.Mleta mada ameweka kila kipasacho hadharani,Jukumu letu ni kumpa mchango wa mawazo ili janga hili lisimalize Taifa kwa mtindo huo!!Please read btn the lines!!