kishoreda
Senior Member
- Nov 2, 2010
- 174
- 29
Jamani habari zenu!Naomba ushauri wenu jamani mm ninataka kumuoa binti mmoja ambae alikuwa beki tatu wetu zamani ila mother wangu hakubaliani na mm ila mm nampenda sana na kwa moyo mmoja na nimemuahidi nitamuoa.Sasa nifanye nn kumshawishi mother amkubali Nisaidieni jamani.
Niliongea na dingi akaniambia kuwa mwanaume huwa achaguliwi mwanamke wa kuishi nae ila akaniambia tatizo liko kwa mother.Na katika utafiti wangu nimegundua mother anaona aibu kwani atakuwa amefanya kazi ya kuniletea mke ndani na isitoshe eti mwanamke mwenyewe hajasoma.Na pia mm binti nimemfungulia biashara na home alishaondoka long time sana kwani mahusiano seriously yalianza baada ya yy kutoka home.
Niliongea na dingi akaniambia kuwa mwanaume huwa achaguliwi mwanamke wa kuishi nae ila akaniambia tatizo liko kwa mother.Na katika utafiti wangu nimegundua mother anaona aibu kwani atakuwa amefanya kazi ya kuniletea mke ndani na isitoshe eti mwanamke mwenyewe hajasoma.Na pia mm binti nimemfungulia biashara na home alishaondoka long time sana kwani mahusiano seriously yalianza baada ya yy kutoka home.