Mama Diamond amwaga machozi kwa uchafu wa mwanae

Yeye msafi,ujue mama na baba wenye baadili haiwezekani mtoto wako akiwa maruufu nawe mzazi uwe maruufu.siku za nyuma huyo mama nae amekuwa akitukana hovyo hovyo,akawa akitokea kwenye magazeti kwa skendo tofauti tofauti.Lakini ni nani alimjuaga mama yake proffesor J,wakati umaruufu kaupata toka zamani.
 
ni kazi unazotumia mfano mikono bila kupewa mafunzo au hazitaji uwe na uwezo bali ni maelekezo tu fanya hivi na hivi na unaanza kaz mara moja sio zile za kwenda kusomea .

Watu wengi wanafanya general labor na zinalipa vizuri tu.

general labor nyingi unalipwa kuanzia dolla 11 hadi 13 kwa saa haya ukifanya masaa 8 una ngap?

ukizidi masaa 8 kwa siku labda ukafanya 12 hayo 4 ni overtime itaongezeka nusu kama ni 11 utapata 16.5 kwa saa

ukifanya wikend ina double kama ni 11 inakuwa 22 dollar kwa saa

Nami nitawafuata Dinazarde na Honey Faith
Makazi siyapo?
 
Last edited by a moderator:
Kila mtu na maisha yake!
Kwani akilia ndo inasaidia nini?
Kama kuna mabaya anayoyaona basi amuombee mwanae
 
...once said that she her son Diamond Platinumz to get married so that she stops appearing with her girlfriends........... ...................meanwhile the heath of her mother is dwindling...
Ni lugha gni hyo!? Why can't u use ur National language!?
Kama kiingereza chenga si uwakilishe kwa lugha ya nyumbani tu. Kwanza wasomaji wenyewe wote hapa waswahili, tabu yote ya nini?
 
Kuwa mama harafu kijana wako mdogo akubadilishie waka mwana na Kazi yako uwe unauza nao sura kwenye mitandao na magazeti Uku wakibadilishwa Kama nguo na kijana wako harafu uone Kama utajisikia vizuri,harafu utasemaje namsingizia wakat picha ziko wazi au uoni Kapime macho
Na hapa napo Kiswahili bumbulas.
 
Back
Top Bottom