Money Stunna
JF-Expert Member
- Aug 9, 2011
- 13,054
- 6,281
- Thread starter
- #81
Kumbe umecopy huna hata uhakika kwendraaaaaaaa
nilitoa kwa le mutuz nenda ukaangalie
Kumbe umecopy huna hata uhakika kwendraaaaaaaa
Shogaa sie si tunapeana kwa kiswahil tu ila warumi hamna tumuache tu,labda Heaven on Earth ila sijui atakubali kulea watoto tumidoli
ni kazi unazotumia mfano mikono bila kupewa mafunzo au hazitaji uwe na uwezo bali ni maelekezo tu fanya hivi na hivi na unaanza kaz mara moja sio zile za kwenda kusomea .
Watu wengi wanafanya general labor na zinalipa vizuri tu.
general labor nyingi unalipwa kuanzia dolla 11 hadi 13 kwa saa haya ukifanya masaa 8 una ngap?
ukizidi masaa 8 kwa siku labda ukafanya 12 hayo 4 ni overtime itaongezeka nusu kama ni 11 utapata 16.5 kwa saa
ukifanya wikend ina double kama ni 11 inakuwa 22 dollar kwa saa
Karibu
...once said that she her son Diamond Platinumz to get married so that she stops appearing with her girlfriends........... ...................meanwhile the heath of her mother is dwindling...
Ni lugha gni hyo!? Why can't u use ur National language!?
Kama kiingereza chenga si uwakilishe kwa lugha ya nyumbani tu. Kwanza wasomaji wenyewe wote hapa waswahili, tabu yote ya nini?
diamond anatakiwa atulie aoe aache mapepe
Na hapa napo Kiswahili bumbulas.Kuwa mama harafu kijana wako mdogo akubadilishie waka mwana na Kazi yako uwe unauza nao sura kwenye mitandao na magazeti Uku wakibadilishwa Kama nguo na kijana wako harafu uone Kama utajisikia vizuri,harafu utasemaje namsingizia wakat picha ziko wazi au uoni Kapime macho