Money Stunna
JF-Expert Member
- Aug 9, 2011
- 13,054
- 6,281
Mmmmahhhh akwende zakeee
Mnamsingizia bi sandra
Mimi nimevutiwa na kiingereza chako tu
hicho kizungu kaongea mama dai au wewe
Mwenzangu mpaka nimefikicha macho nikidhani mimi ndio sioni vizuri!Hicho kingereza sasa ni balaaaa!!!
Hhhhaaaaaaaa stuna huyooo
Mwenzangu mpaka nimefikicha macho nikidhani mimi ndio sioni vizuri!
Hicho kingereza kimetoka huko ughaibuni atiiii!
Harafu nilikuwa sijaangalia vizuri,nimeitoa sehemu nikaileta Kama ilivyo
Kingereza hujui, kiswahili hujui, bora uandike kikurya chako tu.