Mama Beatrice Shelukindo peleka hoja binafsi bungenii nyumba za serikali zirudishwe

Salary Slip

JF-Expert Member
Apr 3, 2012
47,011
144,371
Mama Shelukindo, awali ya yote nakupongeza sana kwa mchango wako wa jana bungeni kuhusu bajeti.Umeonyesha ukomavu wa hali ya juu kisiasa kwa kutambua mchango wa upinzani ktk maendeleo ya taifa lolote tofauti na wale wanaojiita wachumi wa daraja la kwanza lakini kisiasa,kimaadili,na hata kiungozi wametuthibitishia ni bure kabisa au tuseme ni zero.Wamesoma lakini hawajaelimika!
Katika jambo moja uliloligusia ktk kuchangia bajeti jana, ni juu ya uamuzi ambao kwa kweli, una harufu ya ubinafsi na jambo hilo si lingine bali ni kuhusu uuzaji wa nyumba za serikali.Mimi binafsi nilisikitishwa na kuumizwa sana na huu uamuzi.Nachokushauri mama yangu ni kuwa hebu peleka hoja binafsi juu ya swala hili ili ikiwezekana nyumba hizi zirudishwe.Wabunge mkiamua jambo hili linawezekana kabisa.
Nakumbuka mh.Christopher Ole Sendeka aliwahi kuahidi pale bungeni kuleta hoja binafsi juu ya swala hili lakini nashangaa mpaka leo yuko kimya.Sasa sijiu alitoa kauli ile kisiasa tu kutupiga changa la macho au bado ana nia ya kufanya hivyo mimi sijiu.
Mama Shelukindo, maadamu umeligusia swala hili, ni vizuri ulifanyie kazi kwa uzito unaostahili na utakumbukwa siku zote za maisha yako kama ulivyofanya juu ya bwana Jairo.Najua hata huko bungeni wako wengi waliofaidika na uamuzi huu ila wewe timiza wajibu wako tu.
Mwisho nasema mungu akupe nguvu na ujasiri na sisi wazalendo tuko nyuma yako ktk maombi.
 
Mleta mada, sikutegemea kama ungeweza kupotosha hivi kwa jinsi ulivyomwelewa Beatrice Shelukindo. Mimi nilisikiliza hotuba yote aliyoitoa bungeni.

Mwanzoni wakati nasoma thread yako nikadhani mama Shelukindo ametoa speech nyingine mbali na ile niliyosikia. Ni kweli mama Shelukindo alisema kuwa CHADEMA hotuba yao ni nzuri. Lakini ungemsikiliza vizuri mama Shelukindo aliendelea alisema hivi:

{..tusiwachukie wapinzani wanapotukosoa. Kwa sababu kukosoa kwao si kwamba hawatupendi CCM. CHADEMA wangekuwa hawatupendi CCM wasingetukosoa hata kwa neno moja na badala yake hayo wanayotukosoa wangesubiri kuyasema kwenye kampeni 2015 na wakatuondoa madarakani.

Lakini CHADEMA wanatukosoa sasa na bajeti zao nzuri ili tujirekebishe. Na tukijirekebisha basi tunaendelea kuwepo madarakani. Hivyo CHADEMA wanapenda tuendelee kuwepo madarakani kwa hiyo hata mimi Shelukindo nawahimiza waendelee kutukosoa na watuletee michango na bajeti nzuri ili tudumu madarakani..
}

Sasa tafakari mwenyewe hapo, kama kweli wewe ni mpenzi wa CHADEMA, huoni hapo umepigwa dongo la mwaka.

Na kama mama Shelukindo huwa anasoma JF basi huko aliko atakuwa anacheka kupita maelezo.
 
Mkuu ni wajibu wa chadema kukosoa maana bila kufanya hivyo watakuwa hawana umuhimu kwani mapungufu ni mengi na ya wazi na wao kama upinzani ndio jukumu lao.Vinginevyo hata umma utawadharau kama watakaa kimya au kuunga mkono hoja kwa asilimia mia moja.
Mkuu we hujagundua tu, kuwa hawa magamba ni sikio la kufa halisikii dawa.Hawana tofauti ni kina Gaddafi,Mubarraka na wengineo waliokuwa wamelewa madaraka na kujisahau na ndio maana kila mwaka wanaandaa bajeti za zima moto.Usikonde kiama chao kinakuja na wakishutika itakuwa tayari too late.
 
Kurudisha nyumba zilizokuwa za SERIKALI? I bet my neck kama ataweza Mama Shelukindo mimi nitarudi CCM. Ninaomba umtumie hayo mapendekezo yako ktk email yake binafsi inapatikana kwenye tovuti ya bunge.

If you have a short memory allow me to refresh you. Wakati JK anagombea 2005, mojawapo ya ahadi yake ilikuwa kurudisha nyumba zote za Serikali zilizouzwa. You know what happened.

Mwaka huu Magufuri akatamba kwamba atawanyang'anya nyumba wale wote ambao hawajamaliza kuzilipia. I stand to be corrected hakuna hata mmoja aliyekwishanyang'anywa.

Mark my words nyumba za serikali zinaweza kurudi tu kama Chama kingine kitaingia madarakani tumeoma Zambia under Satta, tunaona Malawi under Joyce Banda. lakini sio under Serikali ya CCM tuache kuota ndoto za alinacha.

Under CCM wimbo wa nyumba za serikali utakuwa na chorus kama ile ya Serikali kuachana na mashangingi, Serikali kuhamia Dodoma etc.
 
Yan hapo ana mpigia mbuzi gitaa,yan kweli serikali hii ni ya kurudisha nyumba?
 
Mleta mada, sikutegemea kama ungeweza kupotosha hivi kwa jinsi ulivyomwelewa Beatrice Shelukindo. Mimi nilisikiliza hotuba yote aliyoitoa bungeni.

Mwanzoni wakati nasoma thread yako nikadhani mama Shelukindo ametoa speech nyingine mbali na ile niliyosikia. Ni kweli mama Shelukindo alisema kuwa CHADEMA hotuba yao ni nzuri. Lakini ungemsikiliza vizuri mama Shelukindo aliendelea alisema hivi:

{..tusiwachukie wapinzani wanapotukosoa. Kwa sababu kukosoa kwao si kwamba hawatupendi CCM. CHADEMA wangekuwa hawatupendi CCM wasingetukosoa hata kwa neno moja na badala yake hayo wanayotukosoa wangesubiri kuyasema kwenye kampeni 2015 na wakatuondoa madarakani.

Lakini CHADEMA wanatukosoa sasa na bajeti zao nzuri ili tujirekebishe. Na tukijirekebisha basi tunaendelea kuwepo madarakani. Hivyo CHADEMA wanapenda tuendelee kuwepo madarakani kwa hiyo hata mimi Shelukindo nawahimiza waendelee kutukosoa na watuletee michango na bajeti nzuri ili tudumu madarakani..
}

Sasa tafakari mwenyewe hapo, kama kweli wewe ni mpenzi wa CHADEMA, huoni hapo umepigwa dongo la mwaka.

Na kama mama Shelukindo huwa anasoma JF basi huko aliko atakuwa anacheka kupita maelezo.
HUYU MAMA BADO YUKO DUNAN AU HATA KUZMU KUNA JF??
 
Mleta mada, sikutegemea kama ungeweza kupotosha hivi kwa jinsi ulivyomwelewa Beatrice Shelukindo. Mimi nilisikiliza hotuba yote aliyoitoa bungeni.

Mwanzoni wakati nasoma thread yako nikadhani mama Shelukindo ametoa speech nyingine mbali na ile niliyosikia. Ni kweli mama Shelukindo alisema kuwa CHADEMA hotuba yao ni nzuri. Lakini ungemsikiliza vizuri mama Shelukindo aliendelea alisema hivi:

{..tusiwachukie wapinzani wanapotukosoa. Kwa sababu kukosoa kwao si kwamba hawatupendi CCM. CHADEMA wangekuwa hawatupendi CCM wasingetukosoa hata kwa neno moja na badala yake hayo wanayotukosoa wangesubiri kuyasema kwenye kampeni 2015 na wakatuondoa madarakani.

Lakini CHADEMA wanatukosoa sasa na bajeti zao nzuri ili tujirekebishe. Na tukijirekebisha basi tunaendelea kuwepo madarakani. Hivyo CHADEMA wanapenda tuendelee kuwepo madarakani kwa hiyo hata mimi Shelukindo nawahimiza waendelee kutukosoa na watuletee michango na bajeti nzuri ili tudumu madarakani..
}

Sasa tafakari mwenyewe hapo, kama kweli wewe ni mpenzi wa CHADEMA, huoni hapo umepigwa dongo la mwaka.

Na kama mama Shelukindo huwa anasoma JF basi huko aliko atakuwa anacheka kupita maelezo.
Mkuu umeelewaje hapo kwenye nyekundu?
 
Mama Shelukindo, awali ya yote nakupongeza sana kwa mchango wako wa jana bungeni kuhusu bajeti.Umeonyesha ukomavu wa hali ya juu kisiasa kwa kutambua mchango wa upinzani ktk maendeleo ya taifa lolote tofauti na wale wanaojiita wachumi wa daraja la kwanza lakini kisiasa,kimaadili,na hata kiungozi wametuthibitishia ni bure kabisa au tuseme ni zero.Wamesoma lakini hawajaelimika!
Katika jambo moja uliloligusia ktk kuchangia bajeti jana, ni juu ya uamuzi ambao kwa kweli, una harufu ya ubinafsi na jambo hilo si lingine bali ni kuhusu uuzaji wa nyumba za serikali.Mimi binafsi nilisikitishwa na kuumizwa sana na huu uamuzi.Nachokushauri mama yangu ni kuwa hebu peleka hoja binafsi juu ya swala hili ili ikiwezekana nyumba hizi zirudishwe.Wabunge mkiamua jambo hili linawezekana kabisa.
Nakumbuka mh.Christopher Ole Sendeka aliwahi kuahidi pale bungeni kuleta hoja binafsi juu ya swala hili lakini nashangaa mpaka leo yuko kimya.Sasa sijiu alitoa kauli ile kisiasa tu kutupiga changa la macho au bado ana nia ya kufanya hivyo mimi sijiu.
Mama Shelukindo, maadamu umeligusia swala hili, ni vizuri ulifanyie kazi kwa uzito unaostahili na utakumbukwa siku zote za maisha yako kama ulivyofanya juu ya bwana Jairo.Najua hata huko bungeni wako wengi waliofaidika na uamuzi huu ila wewe timiza wajibu wako tu.
Mwisho nasema mungu akupe nguvu na ujasiri na sisi wazalendo tuko nyuma yako ktk maombi.
Zirudi serikalini zote ule ni wizi
 
Back
Top Bottom