Mama! Baba kanya.

Kibirizi

JF-Expert Member
Feb 19, 2011
604
146
Kama ilivyokuwa ada kwa Baba mmoja ambaye hupenda kujipumzisha pindi anapotoka katika shughuli zake za kila siku, basi siku mmoja akiwa amejipumzisha kitandani chumbani akiwa uchi wa mnyama. Basi kwa kuwa alikuwa amelala kifudifudi ilhali (whereas/wakati) kende/korodani zake zikawa zimejitokeza kwa nyuma, akaja mtoto na kuziona kwa kuwa ilikuwa ni mara ya kwanza kwa mtoto yule kuona kitu kama kile kwa haraka haraka akafikiri baba yake amejisaidia, kama mnavyofahama sehemu ile kwa sisi waafrika huwa nyeusi, mtoto alitoka mbio hadi kwa mama yake na kumweleza Mama! Baba kanye, basi mama watoto alitoka mbio hadi chumbani na kushangaa hali aliyoikuta.
 
Tatzo la ku2mia chumba kim0ja na kids,askar ndio mna wakat mgumu kwenye mabanda yenu!
 
Dah!! hiyo fedheha huyo mdingi cjui atakuwa na akili zilizo scratch kama CD feki za kibongo!!tehe tehe tehe!!!!
 
Kama ilivyokuwa ada kwa Baba mmoja ambaye hupenda kujipumzisha pindi anapotoka katika shughuli zake za kila siku, basi siku mmoja akiwa amejipumzisha kitandani chumbani akiwa uchi wa mnyama. Basi kwa kuwa alikuwa amelala kifudifudi ilhali (whereas/wakati) kende/korodani zake zikawa zimejitokeza kwa nyuma, akaja mtoto na kuziona kwa kuwa ilikuwa ni mara ya kwanza kwa mtoto yule kuona kitu kama kile kwa haraka haraka akafikiri baba yake amejisaidia, kama mnavyofahama sehemu ile kwa sisi waafrika huwa nyeusi, mtoto alitoka mbio hadi kwa mama yake na kumweleza Mama! Baba kanye, basi mama watoto alitoka mbio hadi chumbani na kushangaa hali aliyoikuta.
Duh mtoto alilaaniwa manake mtoto mwenye akili hatakiwi kuona hayo!
 
jamani nilikuwa sijacheka toka niamke, lol! hii kali nimecheka mpaka na mwenzangu wa tumboni karuka lol! hii kali...
 
Kama ilivyokuwa ada kwa Baba mmoja ambaye hupenda kujipumzisha pindi anapotoka katika shughuli zake za kila siku, basi siku mmoja akiwa amejipumzisha kitandani chumbani akiwa uchi wa mnyama. Basi kwa kuwa alikuwa amelala kifudifudi ilhali (whereas/wakati) kende/korodani zake zikawa zimejitokeza kwa nyuma, akaja mtoto na kuziona kwa kuwa ilikuwa ni mara ya kwanza kwa mtoto yule kuona kitu kama kile kwa haraka haraka akafikiri baba yake amejisaidia, kama mnavyofahama sehemu ile kwa sisi waafrika huwa nyeusi, mtoto alitoka mbio hadi kwa mama yake na kumweleza Mama! Baba kanye, basi mama watoto alitoka mbio hadi chumbani na kushangaa hali aliyoikuta.

Kama choo unapata cheusi basi una matatizo onana na daktari wako haraka.
 
huyu mtoto ni wa kike au?
manake kama ni wa kike then ......................................!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom