Mama azimia akifuatilia mafao yake NSSF Kinondoni Regional office

Mchekechoni

JF-Expert Member
Apr 24, 2008
279
19
Mama mmoja wa makamo amezimia mchana huu katika ofisi za NSSF zilizoko Ubungo, jijini Dar es Salaam. Kwa mujibu wa mashuhuda waliokuwa karibu na mama huyo kabla hajakutana na dhahama hiyo, ni kwamba amekuwa akifuatilia mafao yake stahiki tangu mwezi November 2010, na amekuwa akipigwa tarehe kila mara. Kwa hivi sasa amepatiwa huduma ya kwanza na baadae akabebwa kupelekwa katika ofisi mojawapo yenye kiyoyozi, pengine kusubiri cheki yake itoke kama emergency ili kumuepusha na maafa zaidi. Wito kwa NSSF wapunguze ukiritimba, ni vema kumpa mtu tarehe ya uhakika ya kuchukua cheki yake kuliko utaratibu wao wa kupiga watu tarehe bila mpangilio, pia wajitahidi kuepusha muda wa watu kupotea bure na gharama za nauli kila mara. Kinachosikitisha zaidi ni kuwa, kila tarehe unayopewa utatumia masaa manne na zaidi kusubiri jina lako, na ukiitwa unapigwa tarehe nyingine. Mmm.....they're somehow stupid in wasting peoples' time and money. NSSF must change for the best!
 
hivi hakuna utaratibu wa kuweza kuwafungulia mashatka ya madai kwa usumbufu huu, wakiwa na kese kama elfu hamsini hivi zitawapotezea muda na wao ndio watajua umuhimu wa muda
 
Mama mmoja wa makamo amezimia mchana huu katika ofisi za NSSF zilizoko Ubungo, jijini Dar es Salaam. Kwa mujibu wa mashuhuda waliokuwa karibu na mama huyo kabla hajakutana na dhahama hiyo, ni kwamba amekuwa akifuatilia mafao yake stahiki tangu mwezi November 2010, na amekuwa akipigwa tarehe kila mara. Kwa hivi sasa amepatiwa huduma ya kwanza na baadae akabebwa kupelekwa katika ofisi mojawapo yenye kiyoyozi, pengine kusubiri cheki yake itoke kama emergency ili kumuepusha na maafa zaidi. Wito kwa NSSF wapunguze ukiritimba, ni vema kumpa mtu tarehe ya uhakika ya kuchukua cheki yake kuliko utaratibu wao wa kupiga watu tarehe bila mpangilio, pia wajitahidi kuepusha muda wa watu kupotea bure na gharama za nauli kila mara. Kinachosikitisha zaidi ni kuwa, kila tarehe unayopewa utatumia masaa manne na zaidi kusubiri jina lako, na ukiitwa unapigwa tarehe nyingine. Mmm.....they're somehow stupid in wasting peoples' time and money. NSSF must change for the best!

Hawa NSSF inabidi wabadilike sana hata hili linahitaji wawekezaji????UFISADI TUUU.
 
Back
Top Bottom