mh naona akina dada wamekuwa wakali kweli kweli!
LD. Ni sehemu yangu sana tu. Na labda niongezee kitu,hanyanyasiki kwa lolote na huwa tunawekana wazi kwa vitu vitukeravyo. Pili she has her businesses and she is happy. Ukweli sina mashaka nae LAKINI ukweli pia ni kwamba binadam ni binadam,nimeona mengi kwa ndugu na marafiki kusalitiwa,nami kuumiza kichwa ni ili nami nisije umizwa kama hao wengine.
Acha kuishi kwa wasiwasi!Kama usaliti ungekua unatokea kwa kila mtu usingeoa on the 1st place kwasabu wanandoa kibao wanasalitiana..sio kila mtu ni mbaya!Mwamini mkeo mpaka atakapokupa sababu ya kuacha kumwamini!Pili she has her businesses and she is happy. Ukweli sina mashaka nae LAKINI ukweli pia ni kwamba binadam ni binadam,nimeona mengi kwa ndugu na marafiki kusalitiwa,nami kuumiza kichwa ni ili nami nisije umizwa kama hao wengine.
Sidhani kama kuna aliyekutukana!Tumetoa tu mawazo yetu katika hali ya kukereka kwa jinsi unavyomchukulia mkeo!Ilikua noma eti,kidogo nikimbia. Nimetukanwa nahis tungekua uso kwa uso wangeniharibu reception kabisa. Lol.
Pole kama umehisi kutukanwa!Issue uliyoleta imetugusa sana ndo maana tumekua wakali kidogo!Asante kwa kuelewa!Be blessed!Ila next time LD na lizzy kumbukeni watu tuna background na upbringing tofauti mtu akiomba ushauri msikimbilie kumshutumu na kumtukana,hamtaweza kumshauri aone vitu from your angle.
Mimi nimewaelewa,namwachia everything.
Ila natenga ka 15 au 20 m hivi JUST INCASE! Maana nikikuta hola sijui ntawapata wapi nyie.
Kama Humwamini kiasi hicho unaweza kuandika standing instruction kwa mwajiri wako akawa anapeleka sehemu ya mshahara wako kwenye akaunt ya mkeo . Otherwise, Imani muhimu .Habari wakuu. Naomba tubadilishane mawazo kwa hili.
Naenda kusoma nje. Mshahara wangu utaendelea kuingia kwenye akaunt yangu ambayo nayo ndio naitumia kwa biashara zangu. Sasa navyoondoka sijui kadi nimpatie mama au mke kwa ajili ya kuendelea ku run shughuli na matumizi mengine. Wife hajui kipato changu taslimu na ni vizuri,ila kwenda kuomba kwa mama inaweza ikawa kero.
Mwalioneje hili?
Anyways fine lets not take this issue personally.
Ila next time LD na lizzy kumbukeni watu tuna background na upbringing tofauti mtu akiomba ushauri msikimbilie kumshutumu na kumtukana,hamtaweza kumshauri aone vitu from your angle.
Mimi nimewaelewa,namwachia everything.
Ila natenga ka 15 au 20 m hivi JUST INCASE! Maana nikikuta hola sijui ntawapata wapi nyie. All is gud.
We mwanaume vipi?Yani una mke alafu mama yako ndo asimamie mambo yako?Unless mkeo humuamini linapokuja swala la pesa au unamwona sio smart enough kufuatilia shughuli zako humtendei haki kabisa!Yani unajaribu kutengeneza bomu linaloweza kulipua ndoa yako wakati wowote!Eti mke aende kwa mama kuomba pesa!Nwyz kabla sijaendelea naomba kuuliza kwanini unaonyesha kutokumwamini mkeo?Kwani akiujua mshahara wako utapungua?
Asante dearest!Pongezi kwa ushauri mzuri,LIZZY, LD & CARMEL!!!! You girls are smart and considerate!!!nimewapa thanks zenu,i wish i could give more!!:coffee:
Kuna vitu unavyoweza kuvionyesha hadharani but NOT upumbavu wako! Jaribu kuficha upumbavu
Some people are meant to be ignored my dear!No need to question a fool who thinks he is the real deal!whats this? is it necessary?
whats this? is it necessary?
Pongezi kwa ushauri mzuri,LIZZY, LD & CARMEL!!!! You girls are smart and considerate!!!nimewapa thanks zenu,i wish i could give more!!:coffee: