Nyamgluu
JF-Expert Member
- Mar 10, 2006
- 3,160
- 1,718
Habari wakuu. Naomba tubadilishane mawazo kwa hili.
Naenda kusoma nje. Mshahara wangu utaendelea kuingia kwenye akaunt yangu ambayo nayo ndio naitumia kwa biashara zangu. Sasa navyoondoka sijui kadi nimpatie mama au mke kwa ajili ya kuendelea ku run shughuli na matumizi mengine. Wife hajui kipato changu taslimu na ni vizuri,ila kwenda kuomba kwa mama inaweza ikawa kero.
Mwalioneje hili?
Naenda kusoma nje. Mshahara wangu utaendelea kuingia kwenye akaunt yangu ambayo nayo ndio naitumia kwa biashara zangu. Sasa navyoondoka sijui kadi nimpatie mama au mke kwa ajili ya kuendelea ku run shughuli na matumizi mengine. Wife hajui kipato changu taslimu na ni vizuri,ila kwenda kuomba kwa mama inaweza ikawa kero.
Mwalioneje hili?