Chapa Nalo Jr
JF-Expert Member
- Dec 8, 2010
- 7,514
- 6,489
Kuna thread inaendelea kwenye jukwaa hili yenye heading "Mama au Mke", sasa kutokana na changamoto za ulimwengu wa sasa pamoja na mabadiliko ya kimfumo, sasa naomba tujadili pia kwamba "mwenye mshahara na anaekwenda kusoma nje ya nchi ni mke badala mme"; tupate ushauri kwa upande mwingine.
Ni vema ukasoma ile thread kwanza ndio uchangie na hii, kama jibu lako ni lilelile la kule, basi naomba msisitizo wako kwa pande hii please!!!
Ni vema ukasoma ile thread kwanza ndio uchangie na hii, kama jibu lako ni lilelile la kule, basi naomba msisitizo wako kwa pande hii please!!!