bht
JF-Expert Member
- May 14, 2009
- 10,336
- 1,860
Hahahaha Bht nataka al-batal mie
ni ipi hiyo, ya nini na inapatikana wapi?
Hahahaha Bht nataka al-batal mie
nimeona sisy, natumai unaelewa wa kaka wanavyokuwa wakali na dada zao, sishangai hata kidogo.hujaona kakuonya kumwita Hassan 'dear'?
eti uwe makini..........
afu ni wakaka aina ya Fide ndo wanakuwaga wakali ujue!!! (waharibifu wenyewe)nimeona sisy, natumai unaelewa wa kaka wanavyokuwa wakali na dada zao, sishangai hata kidogo.
inasambaa haraka ni kwasababu ya jamii inataka kusikia miujiza, maluweluwe, ajabu na kila ushenzi,
ukitaka kujua jamii inakula nini ktk sekta ya habari na mawasiliano ya umma, wewe tazama namna habari za udaku zinavyo pokelewa, simple mind inatokana na elimu legelege, malezi ya hovyo hovyo..............hakuna lolote, ni ujinga mtupu.
Dont worry binamu these are just sayingsBinamu kuwa makini na lugha unazo tumia oooh wengine wana stimu za karibu.
yaani we acha tu, sisyafu ni wakaka aina ya Fide ndo wanakuwaga wakali ujue!!! (waharibifu wenyewe)
Usicheze karibu na Fidel anapenda sana bata ! Nipo si unajua leo njia ya msalaba
Muulize hata tukiwa chawote au zero, am always next to my big brother Iribini!!!
fide na mimi ni ng'ambo na ng'ambo!!!!
ooh yeah sikosei unaisalia hapo ulipo lakini si church tena unaiendesha wewe mwenyewe (katekista masa)
Hapana nimeenda kabisa church na nimefuata kabisa all stations of the cross
hizo hadithi tu, kweli mtu alieua anaweza kujisifu, watakutoa roho wananchi wenye hasira.takriban wiki nne zilizopita wapo radio nilisikia ushuhuda wa shehe mmoja ambaye sasa ameokoka,alisema alikuwa mchawi wa kutupwa na ameua wengi sana ktk ushuhuda wake alisema amehitimu uchawi chini ya bahari na aliingilia chini ya bahari kupitia pale salenda bridge na nilishasikia ushuhuda kwa watu wengine kama watatu hivi wakisema pale salenda bridge kuna lango chini la kuingilia kuzimu kuweni macho wadau msikubali kumpa mtu lift kuna jamaa alitoa lift akajikuta siku ya tatu amelala beach kuduchi hana nguo na gari lake limeegeshwa chini ya mbuyu.Wenye upako angusheni maombi ya nguvu lifungwe lango
Hata hilo uliloandika umelikosea,ukipita kwa miguu pale darajani utakuta limeandikwa selander bridge,na sio surrender au salender!!Mh, jamani inabidi Jiji la Dar-es-Salaam liweke bayana jina la hilo daraja manake leo ndio nasoma hapa kumbe linaitwa "surrender" bridge?
Enjoy the weekend
Hata hilo uliloandika umelikosea,ukipita kwa miguu pale darajani utakuta limeandikwa selander bridge,na sio surrender au salender!!
Hata hilo uliloandika umelikosea,ukipita kwa miguu pale darajani utakuta limeandikwa selander bridge,na sio surrender au salender!!
Thanx for being positive,One love to you wherever you are!!Haswa!! Nafahamu mkuu ndio maana nikaandika namna hiyo, alieweka mada hii aliandika "surrender" bridge.
My post was on the light side, I know it is Selander bridge, not Salender and certainly not "surrender"!!
Ghave that nice weekend, will you?
Sisy BHT kafanya nini tena huyu?
Mh, jamani inabidi Jiji la Dar-es-Salaam liweke bayana jina la hilo daraja manake leo ndio nasoma hapa kumbe linaitwa "surrender" bridge?
Enjoy the weekend