Mama Analeliya Nkya Maandamano lini?

Giddy Mangi

JF-Expert Member
Feb 14, 2011
830
184
MAMA NKYA na Watanzania nipo hapa Mwananyamala Hospital umeme umeshakatika mara 5 sasa na ninavyo post hii thread umekatika tena,Naomba kujua maandamano lini tuweze kumwonyesha Kikwete na Dunia tulivyochoka.Ccm na Kikwete na Miaka yenu 50 ya Uhuru tupo gizani Shame on you Ccm.
 
Back
Top Bottom